GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Shida Kuu Simba Sports Club
1. Mwekezaji Mo na Uongo wake juu ya kuweka Tsh 20 Billion huku akifaidika zaidi na Timu kuliko Simba SC inavyofaidika nae
2. 90% ya Wajumbe wa Bodi ya Simba SC ni Wapigaji huku kila Mmoja akiwa na Mchezaji wake kwa ajili ya 10% na wasipoipata wanawalazimisha Wachomeshe ili Timu ifanye vibaya na Zigo la Lawama limwangukie Kocha Mkuu
3. Mwenyekiti wa Wanachama Mangungu kutoaminika na kutopewa Ushirkiano
4. Kocha Msaidizi Mgunda, Meneja wa Timu Rweymamu, Kocha mbovu wa Viungo na Mkuu wa Itifaki Makoye
5. Wachezaji Wazawa Wakonngwe na tabia yao ya Kuroga Wachezaji wa Kigeni
6. Usaliti kuanzia kwa Viongozi Waandamizi wa Simba SC hadi kwa Wachezaji Waandamizi wa Simba SC unaopelekea Timu Kuhujumiwa na kufanya vibaya.
7. Kuwatapeli na Kutowalipa Fedha zao Waganga wa Kienyeji wanaoipa Mafanikio Timu hasa katika Mechi Ngumu za Ndani na Nje Dhambi ambayo ilifanyika kwa Pesa za Rambirambi za aliyekuwa Mchezaji wetu tegemeo nafasi ya Kiungo Marehemu Patrick Mutesa Petit Tabu Mafisango ( Baba Crespo )
GENTAMYCINE namalizia kwa kuwaambia wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums kuwa kama haya Mambo yangu Saba ( 7 ) tajwa hayatafanyiwa Kazi haraka na wana Simba SC wote Kuamka msitegemee Mafanikio yoyote yale.
Na Yanga SC iliyotulia sasa Administratively na Technically itaendelea Kutawala Soka la Tanzania ikifuatiwa na Azam FC ambao nawaona kwa Msimu ujao wanaenda kufanya vyema ndani na nje Kimashindano.
Kisha Kombe Kuu la Simba SC litakuwa ni kuimba Wimbo wetu wa Kipumbavu kuwa Yanga SC inabebwa na Marefa na TFF wakati wenye Akili Kubwa tunaona kuwa haibebwi isipokuwa imejipanga vyema na Imesajili Watu ( Majembe ) kweli na Kazi yao tunaiona Uwanjani.
1. Mwekezaji Mo na Uongo wake juu ya kuweka Tsh 20 Billion huku akifaidika zaidi na Timu kuliko Simba SC inavyofaidika nae
2. 90% ya Wajumbe wa Bodi ya Simba SC ni Wapigaji huku kila Mmoja akiwa na Mchezaji wake kwa ajili ya 10% na wasipoipata wanawalazimisha Wachomeshe ili Timu ifanye vibaya na Zigo la Lawama limwangukie Kocha Mkuu
3. Mwenyekiti wa Wanachama Mangungu kutoaminika na kutopewa Ushirkiano
4. Kocha Msaidizi Mgunda, Meneja wa Timu Rweymamu, Kocha mbovu wa Viungo na Mkuu wa Itifaki Makoye
5. Wachezaji Wazawa Wakonngwe na tabia yao ya Kuroga Wachezaji wa Kigeni
6. Usaliti kuanzia kwa Viongozi Waandamizi wa Simba SC hadi kwa Wachezaji Waandamizi wa Simba SC unaopelekea Timu Kuhujumiwa na kufanya vibaya.
7. Kuwatapeli na Kutowalipa Fedha zao Waganga wa Kienyeji wanaoipa Mafanikio Timu hasa katika Mechi Ngumu za Ndani na Nje Dhambi ambayo ilifanyika kwa Pesa za Rambirambi za aliyekuwa Mchezaji wetu tegemeo nafasi ya Kiungo Marehemu Patrick Mutesa Petit Tabu Mafisango ( Baba Crespo )
GENTAMYCINE namalizia kwa kuwaambia wana Simba SC mlioko hapa JamiiForums kuwa kama haya Mambo yangu Saba ( 7 ) tajwa hayatafanyiwa Kazi haraka na wana Simba SC wote Kuamka msitegemee Mafanikio yoyote yale.
Na Yanga SC iliyotulia sasa Administratively na Technically itaendelea Kutawala Soka la Tanzania ikifuatiwa na Azam FC ambao nawaona kwa Msimu ujao wanaenda kufanya vyema ndani na nje Kimashindano.
Kisha Kombe Kuu la Simba SC litakuwa ni kuimba Wimbo wetu wa Kipumbavu kuwa Yanga SC inabebwa na Marefa na TFF wakati wenye Akili Kubwa tunaona kuwa haibebwi isipokuwa imejipanga vyema na Imesajili Watu ( Majembe ) kweli na Kazi yao tunaiona Uwanjani.