Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Walitunga sheria ya uhujumu uchumi kwa shangwe ikaja kuwaweka ndani Tena bila Haki yakusikilizwa wakaporwa fedha na kunyamazishwa kisiasa.
Wakatunga POTA wakiamini inalenga magaidi kumbe inaweza kuwalenga hata ambao siyo Magaidi kama ilivyo kwa Mbowe leo hii.
Naamini Mbowe ametangulia ili kufungua milango kwa Wana CCM wenye maono au wenye nia yakutafuta Haki au madaraka. Kwa yeyote Mwenye nguvu na maono kinyume na mwenyekiti wa CCM ajiandae kuwa Gaidi au muhujumu uchumi.
Hii nyama ya binadamu imeashakuwa kali hawataacha kuila.
Wakatunga POTA wakiamini inalenga magaidi kumbe inaweza kuwalenga hata ambao siyo Magaidi kama ilivyo kwa Mbowe leo hii.
Naamini Mbowe ametangulia ili kufungua milango kwa Wana CCM wenye maono au wenye nia yakutafuta Haki au madaraka. Kwa yeyote Mwenye nguvu na maono kinyume na mwenyekiti wa CCM ajiandae kuwa Gaidi au muhujumu uchumi.
Hii nyama ya binadamu imeashakuwa kali hawataacha kuila.