Leo kuna hali ya utulivu kila mahali

Leo kuna hali ya utulivu kila mahali

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,260
Reaction score
5,166
Je mmegundua kuna hali ya utulivu majumbani, makazini, vijiweni, mashuleni n.k.

Arsenal ingeshinda hii wikendi, Man city kufungwa kusingekuwa na hii hali.

Tuzidi kuomba hii hali ya utulivu izidi kuwepo kwasababu wengine pia wakishinda leo usiku kesho amani itatoweka na hakutakuwa tena na utulivu.

adriz de mbusii
 
20260413_130640.jpg
 
Maombi yako Mungu hajapendezwa nayo.
ARSENAL inahitaji angalau ipate trophy this Season. Tumesota sana guys
 
Back
Top Bottom