Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

Malinzi mpira umemshinda zamani tu Yanga alikimbizwa pale eti mnamjalibu Tff unazani umechemka klabu Yanga tu utapaweza Tff? Wajumbe kazi hii tunawakabizi piga chini Malinzi ana jipya tumbueni jipu hilo
 
Katika kile kinachoonyesha kwamba Watanzania hasa wapenda Soka / Kandanda wamechoka na Uongozi / Utawala wa sasa wa Rais wa TFF Jamal Malinzi hatimaye leo asubuhi mida ya Saa 5 Viongozi wanaotakiwa kuiongoza TFF wanachukua Fomu rasmi ili kupambana na kumtoa Malinzi madarakani.

Nawasilisha.

Gentamycine why pick on Malizi if I may ask? Ukweli wa mambo uongozi wa mpira nchni ni balaa tupu, na ujinga huu hauja anza leo na sijui kwa nini Serikali yetu ilikuwa inavumumilia usanii huu kwa miaka nenda rudi!! Mpira uliondoka na utawala wa awamu ya kwanza tawala zilizo fuata ziliwapa leeway TFF, ukijaribu kuchunguza kwa umakini utakuta Viongozi ni wale wale wanacho fanya ni kuwa-recycle basi, wengine hawajawahi hata kucheza mpira au kuwa na taaluma yoyote kuhusu masuala ya SOKA wanacho tanguliza mbele ni maslahi yao binafsi na kufuja fedha za FIFA, CECAFA na makusanyo ya fedha za viingilio kwa kuchapisha tiketi feiki au ku manipulate electronic ticketing system - TTF ni shamba la bibi ndiyo maana watu wanataka kutoana macho kutiliana fitina and all vices you can imagine kwa kungombea Uongozi.

Tukumbuke kwamba mchezo wa SOKA unaweza kulitangaza Taifa letu tukiwa na wachezaji wazuri,makocha na Viongozi wa TFF wanao jali uzalendo kwanza kuliko maslahi binafsi, Dk.Magufuli amefanikiwa sana katika vita ya kubaini vyeti feiki, wafanya kazi hewa, udanganyifu katika biashara ya madini, ku-deal na wezi/mafisadi vita iliyo bakia ni kuhusu umangimeza unaofanyika katika Uongozi na uendeshaji wa Mchezo wa mpira Nchini - sekta hii imekuwa kama kichwa cha wenda wazimu, hakuna mafanikio to talk about zaidi za ku-invent excuses kila tunapo shindwa kufanya vizuri Kimataifa.

Kinacho shangaza zaidi unakuta masaa yote Viongozi wa mpira wanapoteza muda waki entertain infights na malumbano ya kijinga badala ya kuendeleza mchezo wa mpira nchini. Binafsi napendekeza kwa Rais wetu mpendwa/Serikali yake aingilie kati na kupiga marufuku wale wote wanaojulikana walichangia katika udidimizaji wa mchezo wa mpira nchini na wanajulikana basi wasiruhusiwe kugombea Uongozi wa soka nchini i.e wapewe life ban, tuwe wakweli hapa wengi wanao pania sana Uongozi wa TFF ni wavurugaji tu - wateuliwe watu wengine kabisa preferrably damu mpya wenye mawazo mapya na uzalendo uliyo tukuka tumechoshwa na waigizaji.
 
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
#Piga_Chini_Malinzi kwa uhai wa SOKA letu
cc Jamali Malinzi
 
Katika kile kinachoonyesha kwamba Watanzania hasa wapenda Soka / Kandanda wamechoka na Uongozi / Utawala wa sasa wa Rais wa TFF Jamal Malinzi hatimaye leo asubuhi mida ya Saa 5 Viongozi wanaotakiwa kuiongoza TFF wanachukua Fomu rasmi ili kupambana na kumtoa Malinzi madarakani.

Na ili kuonyesha kuwa huenda hawa Watu wawili wakawa ni mwiba mchungu kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi ni kwamba wamepata baraka zote kutoka kwa Wadau wengi wa Soka nchini na hata Serikalini na kuna uwezekano mkubwa mno kwa jinsi mikakati yote ilivyopangwa huu ukawa ndiyo mwisho wa Jamal Malinzi ndani ya TFF.

Watu hao ni Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Yanga FC, Mchambuzi mahiri wa Soka, Mdau mkubwa wa Soka na Msomi mzuri wa masuala ya Biashara na Uongozi Ndugu Ally Mayai Tembele ambaye amepangwa kugombea nafasi ya Urais wa TFF na Makamu wake inasemekana amepangwa kuwa ni Mchezaji wa zamani wa Kiungo wa Simba SC na aliyekuwa na mafanikio makubwa, Mdau mkubwa wa masuala ya Soka na Kiongozi wa zamani wa TFF Mzee Mtemi Ramadhan.

Kinachowafanya hawa Watu akina Ally Mayai na Mzee Mtemi Ramadhan wakubalike na Wadau wengi wa Soka / Mpira nchini Tanzania ( GENTAMYCINE inclusive ) ni kwamba kwanza wamecheza mpira katika Kiwango cha juu kabisa hivyo wanajua nini maana ya Soka na Maendeleo yake. Lakini pia hawa Watu wawili ni kweli kuwa mmoja wapo ni mwana Yanga na mwingine ni mwana Simba ila uzuri wao ni kwamba huwa hawana Unafiki na hawatangulizi mapenzi kwa hivyo Vilabu vyao pindi vinapokuwa na matatizo bali wao husimamia Ueledi na Ukweli hasa katika Utendaji wao.

Watoto wa mjini tunasema kwa Kauli mbiu yetu mpya isemayo “ Malinzi pisha njia wenye Mpira wao wamekuja “. Nianze tu kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Wadau wangu wakubwa wa Soka Kaka yangu Ally Mayai Tembele na Mzee wangu Mtemi Ramadhan kwa kuamua kuwa Viongozi wa TFF na nina uhakika kama Wajumbe wa TFF wataacha Upopoma / Upumbavu wao basi Rais mpya wa TFF atakuwa ni Ndugu Ally Mayai Tembele na Makamu Rais mpya wa TFF ni Ndugu Mtemi Ramadhan.

Nami namalizia kwa kusema “ Malinzi pisha njia wenye mpira wao wamekuja “.

Nawasilisha.
Hupigi kura porojo tu hizi
 
Ally Mayai si Bure lazima ana watu wengi vigogo wa Mpira waliopo Nyuma yake, kwahiyo Malinzi Ajiandae Kisaikolojia watu wamechoka na Bla bla
 
Katika kile kinachoonyesha kwamba Watanzania hasa wapenda Soka / Kandanda wamechoka na Uongozi / Utawala wa sasa wa Rais wa TFF Jamal Malinzi hatimaye leo asubuhi mida ya Saa 5 Viongozi wanaotakiwa kuiongoza TFF wanachukua Fomu rasmi ili kupambana na kumtoa Malinzi madarakani.

Na ili kuonyesha kuwa huenda hawa Watu wawili wakawa ni mwiba mchungu kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi ni kwamba wamepata baraka zote kutoka kwa Wadau wengi wa Soka nchini na hata Serikalini na kuna uwezekano mkubwa mno kwa jinsi mikakati yote ilivyopangwa huu ukawa ndiyo mwisho wa Jamal Malinzi ndani ya TFF.

Watu hao ni Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Yanga FC, Mchambuzi mahiri wa Soka, Mdau mkubwa wa Soka na Msomi mzuri wa masuala ya Biashara na Uongozi Ndugu Ally Mayai Tembele ambaye amepangwa kugombea nafasi ya Urais wa TFF na Makamu wake inasemekana amepangwa kuwa ni Mchezaji wa zamani wa Kiungo wa Simba SC na aliyekuwa na mafanikio makubwa, Mdau mkubwa wa masuala ya Soka na Kiongozi wa zamani wa TFF Mzee Mtemi Ramadhan.

Kinachowafanya hawa Watu akina Ally Mayai na Mzee Mtemi Ramadhan wakubalike na Wadau wengi wa Soka / Mpira nchini Tanzania ( GENTAMYCINE inclusive ) ni kwamba kwanza wamecheza mpira katika Kiwango cha juu kabisa hivyo wanajua nini maana ya Soka na Maendeleo yake. Lakini pia hawa Watu wawili ni kweli kuwa mmoja wapo ni mwana Yanga na mwingine ni mwana Simba ila uzuri wao ni kwamba huwa hawana Unafiki na hawatangulizi mapenzi kwa hivyo Vilabu vyao pindi vinapokuwa na matatizo bali wao husimamia Ueledi na Ukweli hasa katika Utendaji wao.

Watoto wa mjini tunasema kwa Kauli mbiu yetu mpya isemayo “ Malinzi pisha njia wenye Mpira wao wamekuja “. Nianze tu kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Wadau wangu wakubwa wa Soka Kaka yangu Ally Mayai Tembele na Mzee wangu Mtemi Ramadhan kwa kuamua kuwa Viongozi wa TFF na nina uhakika kama Wajumbe wa TFF wataacha Upopoma / Upumbavu wao basi Rais mpya wa TFF atakuwa ni Ndugu Ally Mayai Tembele na Makamu Rais mpya wa TFF ni Ndugu Mtemi Ramadhan.

Nami namalizia kwa kusema “ Malinzi pisha njia wenye mpira wao wamekuja “.

Nawasilisha.
Mkuu, mapinduzi ya soka hapa nchini yatafanywa tu pakiondolewa Usimba na Uyanga. Tazama sasa wanavojipanga, kama rais ni Msimba basi makamu wake lazima awe Myanga. Malinzi apumzike tu kwa kweli maana ni aibu sana.
 
Malinzi anamuhofia Athumani Nyamlani sio hao. Vita ilishaandaliwa na kupiganwa miaka miwili nyuma hapa ni kuenda kupandisha bendera.
Mpira una fitina sio kama watu wanavyojua. Kampeni zilishaanza kwenye chaguzi za mikoa na ndio maana migogoro mingi ilikuwepo kwenye chaguzi mikoani.
Tena Malinzi anapiga kura kwani ni mwenyekiti wa chama cha mkoa anakotoka, maajabu haya!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom