Mtoto mtukutu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 348
- 109
Hao vibaraka wa malinzi mpira Kama siasa tu
Sidhani kama umemuelewa Komredi GENTAMYCINE vizuri.
Labda nikuibie tu siri, nyuma ya Ally Mayai wapo watu wengi sana na wenye nguvu ya ushawishi. Mmoja wapo ni Mbunge na mtoto wa Rais wa zamani.
Nitarudi baadae!
Hao wanajifanya vipofu na viziwi wanachokiona kwa Malinzi ni Kabila lake tuu wala sio Academies kibao alizozianzisha wala ligi ya wanawake,FA nk.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mimi siye!! Lakini ulitaka alete nini labda!!!?Ila tuwe wakweli malinzi ameleta mafanikio gani huu muda wote aliokaa?
Nashauri apumzike na mwenzie wajaribu
Nyinyi "wadau" ndio mnaharibu michezo nchiniHivi huoni aibu kuongea hizi Pumba zako? Unakoelekea utanikera sasa hivi kisha nikuchenjie sawa? Wewe unajua maana ya Football Academies? Nikikuomba unionyeshe angalau mbili ( 2 ) zilizoanzishwa na Jamal Malinzi unaweza? Hivi unajua lakini kuwa hizi comments zako za Kifedhuli zinatutia na kutupandisha Hasira sisi Wadau na wenye Uchungu na huu mpira wetu? Halafu katika thread content yangu nimeongelea Kabila lake? Hivi unadhani 95% ya Watanzania wasiomtaka na ambao hawajapendezwa na Uongozi / Utawala wa Rais wa sasa wa TFF Jamal Emilio Malinzi ni Mapopoma / Wapumbavu? Comments zako zinatutia sana hasira sisi tunaoujua Uozo mkubwa uliopo pale TFF kwa sasa.
Malinzi anashinda tena mkuu!!Kwa Umafia ambao anaenda kufanyiwa atajuta kuwafahamu wenye mpira wao nchini Tanzania.
Ameongeza migogoro kwa wajumbe ambao hawamuungi mkono.Ila tuwe wakweli malinzi ameleta mafanikio gani huu muda wote aliokaa?
Nashauri apumzike na mwenzie wajaribu
Kuna mabadiliko yoyote katika soka letu ukitofautisha na tena aliyeondokaMimi siye!! Lakini ulitaka alete nini labda!!!?
Mlitaka mabadiliko gani?Kuna mabadiliko yoyote katika soka letu ukitofautisha na tena aliyeondoka
Kwani waliomtangulia walileta mafanikio gani ya maana? Wote wale wale tu!Ila tuwe wakweli malinzi ameleta mafanikio gani huu muda wote aliokaa?
Nashauri apumzike na mwenzie wajaribu
...sina hofu juu ya hawa MAPACHA,lkn hofu na mashaka yangu ni kwa WAPIGA KURA,tunawahitaji kweli hawa MAPACHA lkn wapiga KURA watatuletea?
Kwani waliomtangulia walileta mafanikio gani ya maana? Wote wale wale tu!