Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu habari zenu,
Naomba kuuliza hivi huyu raisi wetu wa mpira wa miguu amefanya nini kwenye kipindi chake cha uongozi?
Maana watu wanasema kwenye kipindi chake taifa stars imeshiriki AFCON mara 2,Nataka kujua lakini yeye amefanya kitu gani maana inaweza kuchangiwa na simba na yanga kushiriki sana kimataifa wachezaji wamepata uzoefu wa kutosha, hapo pia ni uwekezaji wa simba na yanga, yeye sasa amefanya nini kama yeye?
MFANO Samuel Etoo alivyokuwa tu Rais wa chama cha soka cha Cameroon amekamilisha baadhi ya mambo haya ndani ya miezi michache tu.
1.Viwango vya mishahara ya wachezaji wa Ligi zao
2. Suala la bima kwa wachezaji ni lazima
3. Suala la wachezaji wenye uraia pacha kuiwakilisha Cameroon, ameweka mifumo sahihi
Sasa nataka kujua au anae jua huyu raisi wetu amefanya mambo gani kwenye soka letu au ndio ameongoza
kuwafungia tu wadau wa mpira?
Wenzetu english premier league (EPL) wanazidi kuboresha soka lao na bingwa akipatikana kweli anakuwa anafanania japo wanamapungufu yao ila wanajitahidi kupunguza mapungufu yao kila kukicha .
sasa hivi EPL Habari ya wachezaji kujiangusha kupoteza muda ukipoteza muda na wao refa wanaonngeza hata dakika 20,ni wewe tu ulipoteza muda kiasi gani?na hata hizo walizoongeza ukipoteza muda na wao wanaongeza muda tena huku kwetu mpaka unashangaa hivi watu hawaoni ili Kwamba ni tatizo?
Huku kwetu raisi wa TFF nakumbuka awamu ya pili aliyogombea hakuwa na Mtu wa kugombea nae sasa nilijiuliza hivi alifanya makubwa yapi mpaka akubalike abaki peke Yake? kama amefanya wakubwa angechaguliwa tu Watu si wanaona uliyofanya? au ndio waliopo hawana vigezo?
RAIS WA TFF TANGIA AINGIE MADARAKANI 2017 AMEFANYA NINI?
Ni hayo tu wakuu.
Naomba kuuliza hivi huyu raisi wetu wa mpira wa miguu amefanya nini kwenye kipindi chake cha uongozi?
Maana watu wanasema kwenye kipindi chake taifa stars imeshiriki AFCON mara 2,Nataka kujua lakini yeye amefanya kitu gani maana inaweza kuchangiwa na simba na yanga kushiriki sana kimataifa wachezaji wamepata uzoefu wa kutosha, hapo pia ni uwekezaji wa simba na yanga, yeye sasa amefanya nini kama yeye?
MFANO Samuel Etoo alivyokuwa tu Rais wa chama cha soka cha Cameroon amekamilisha baadhi ya mambo haya ndani ya miezi michache tu.
1.Viwango vya mishahara ya wachezaji wa Ligi zao
2. Suala la bima kwa wachezaji ni lazima
3. Suala la wachezaji wenye uraia pacha kuiwakilisha Cameroon, ameweka mifumo sahihi
Sasa nataka kujua au anae jua huyu raisi wetu amefanya mambo gani kwenye soka letu au ndio ameongoza
kuwafungia tu wadau wa mpira?
Wenzetu english premier league (EPL) wanazidi kuboresha soka lao na bingwa akipatikana kweli anakuwa anafanania japo wanamapungufu yao ila wanajitahidi kupunguza mapungufu yao kila kukicha .
sasa hivi EPL Habari ya wachezaji kujiangusha kupoteza muda ukipoteza muda na wao refa wanaonngeza hata dakika 20,ni wewe tu ulipoteza muda kiasi gani?na hata hizo walizoongeza ukipoteza muda na wao wanaongeza muda tena huku kwetu mpaka unashangaa hivi watu hawaoni ili Kwamba ni tatizo?
Huku kwetu raisi wa TFF nakumbuka awamu ya pili aliyogombea hakuwa na Mtu wa kugombea nae sasa nilijiuliza hivi alifanya makubwa yapi mpaka akubalike abaki peke Yake? kama amefanya wakubwa angechaguliwa tu Watu si wanaona uliyofanya? au ndio waliopo hawana vigezo?
RAIS WA TFF TANGIA AINGIE MADARAKANI 2017 AMEFANYA NINI?
Ni hayo tu wakuu.