Leo hakuna gazeti hata moja lililoandika habari kubwa ya Polepole!

Leo hakuna gazeti hata moja lililoandika habari kubwa ya Polepole!

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,990
Reaction score
17,049
Jana balozi Polepole alizungumza na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Kati ya mengi aliyoyoyazungumzia, ni kupinga ukiukwaji wa katiba na taratibu za kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka huukupitia chama chao.

Kichekesho ni kwamba serikali imezuia media zote zesitangaze na kuandika habari hii kubwa sana.

Wamesahau kuwa tuko enzi za kidigitali, habari zinapatikana mitandaoni, mpaka vijinini. Watu tumeacha kununua vjipeperushi vyao na kuangalia TV za ndani, tunanunua bundle la kutosha kila siku ili kuhabarika. Poleni wajinga msiojua dunia inavyokwenda
 
'What goes around comes around' - alivyowafanyia wenzake alipokuwa mtawala ndicho anachofanyiwa yeye sasa.

Atulie tu ale riziki zake hapa duniani.
 
Kwani watafungia na internet kote muda wote? Habari itafika tu kwa njia ya mdomo kwa wale wasio na simu janja
 
Wanajua kwamba tayari habari mnazo,no longer marketable
 
We uliposikia kuwa inaanzishwa bodi ya ithibati ulitegemea nn😃😃
 
BBC Swahili……….wanatosha

Juzi walikuwa kwenye fungate vichwa now vipo empty
 
Jana balozi Polepole alizungumza na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Kati ya mengi aliyoyoyazungumzia, ni kupinga ukiukwaji wa katiba na taratibu za kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka huukupitia chama chao.

Kichekesho ni kwamba serikali imezuia media zote zesitangaze na kuandika habari hii kubwa sana.

Wamesahau kuwa tuko enzi za kidigitali, habari zinapatikana mitandaoni, mpaka vijinini. Watu tumeacha kununua vjipeperushi vyao na kuangalia TV za ndani, tunanunua bundle la kutosha kila siku ili kuhabarika. Poleni wajinga msiojua dunia inavyokwenda
Nilikuwa najiuliza kwa nini kwenye maeneo mazuri wanakaa watu wa dini moja zaidi leo ndio nimejua.
 
Churakiziwi mwoga sana hadi kaahirisha vikao vya chama hadi itakapotangazwa tena, ule upupu aliomwaga Chakubanga unawawasha hadi makalioni .
 
Jana balozi Polepole alizungumza na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Kati ya mengi aliyoyoyazungumzia, ni kupinga ukiukwaji wa katiba na taratibu za kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka huukupitia chama chao.

Kichekesho ni kwamba serikali imezuia media zote zesitangaze na kuandika habari hii kubwa sana.

Wamesahau kuwa tuko enzi za kidigitali, habari zinapatikana mitandaoni, mpaka vijinini. Watu tumeacha kununua vjipeperushi vyao na kuangalia TV za ndani, tunanunua bundle la kutosha kila siku ili kuhabarika. Poleni wajinga msiojua dunia inavyokwenda
Kwani samia ameshamiliki magazeti?

Polepole kaongea Utumbo Kwa mwbembwe na tambo Kama vile tete ndiye mmiliki wa ccm

Hakuna substance yoyote pale… he was busy kutuaminisha kwamba si lazima kufuata katiba
 
Jana balozi Polepole alizungumza na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Kati ya mengi aliyoyoyazungumzia, ni kupinga ukiukwaji wa katiba na taratibu za kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi wa mwaka huukupitia chama chao.

Kichekesho ni kwamba serikali imezuia media zote zesitangaze na kuandika habari hii kubwa sana.

Wamesahau kuwa tuko enzi za kidigitali, habari zinapatikana mitandaoni, mpaka vijinini. Watu tumeacha kununua vjipeperushi vyao na kuangalia TV za ndani, tunanunua bundle la kutosha kila siku ili kuhabarika. Poleni wajinga msiojua dunia inavyokwenda
Sasa hivi huwezi ficha habari kama zamani
 
Mara ya mwisho kusoma machapisho yao hayo ya ccm sijui mwaka gani, taarifa ya habari kuangalia za kenya na aljazeera basi
 
Back
Top Bottom