Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....

Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....

Msamehe bure na mrudishie bila sharti lolote. Kama ni mwelewa atajuta kwa alilokufanyia na inaweza ikampa somo la maana sana maishani mwake.
Wanadamu ni wasahalifu sana wa wema.she needs equal reaction to learn.

Ukimrejeshea hatojifunza na kumkaa akilini.adhabu ni funzo kulingana na tabia ya mtu mwenye dharau kama huyo dada
 
Wanadamu ni wasahalifu sana wa wema.she needs equal reaction to learn.

Ukimrejeshea hatojifunza na kumkaa akilini.adhabu ni funzo kulingana na tabia ya mtu mwenye dharau kama huyo dada

Kweli nami naona hivyoo kama wewe...
 
MCHEPUKOoooooooo ka course work inalipa .....CHEPUKAAAA
 
Usimrudishie huyo dada, mpe ombaomba mmoja hapo mataa, mwambie aweke line yake
 
Mwambie alipo umpe...tena uwe mwangalifu asije akaanza kukuganda kama luba akitaka akurudishie fadhila kunako
 
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo;
mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari
kake akadondosha simu;
mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea,ak
anisonya tena msonyo wa dharau sana na
nikajuta kumgusa bega ka sababu ya kibao
alichonipiga.
Alipoondoa gari nikaiokota hiyo simu
nakuondoka zangu;
wala sikuizima.


Nafika town simu hiyo ikaita
nikapokea kwa shauku ya kujua nani....
haya ndo ya kawa maongezi yetu na mpigaji..

mimi;Hallo habari yako...
yeye;Nzuri;
mimi;nani wewe ...
yeye;Mimi ndo mwenye hiyo simu ....
mimi;Na mimi ndo nilokuita na ukanizaba kibao
pale stand ya ubungo leo na ukanisonya ....
yeye;Basi kaka nisamehe naomba unambie
ulipo nije tuelewane ....

Mimi;Nitakwambia baadaye ..
(nikakata simu na kuzima)
Swali nimwambie napatikana wapi au
nimpotezee ili liwe fundisho kwake?
Usimrudishie simu chomoa line mpe housegirl simu au mdogo wako.Wanadharau sana hawa watu haswa akishakua na kigari
 
Wanadamu ni wasahalifu sana wa wema.she needs equal reaction to learn.

Ukimrejeshea hatojifunza na kumkaa akilini.adhabu ni funzo kulingana na tabia ya mtu mwenye dharau kama huyo dada

kwa kuongezea tu...
Huyo dada hakuwa mstaarabu kutoka mwanzo, ni tabia yake aliyokuwa nayo na inaonesha amepata mafanikio sana na ndo maana amethubutu kumpiga kibao mtoa mada, kamwe hawezi kujifunza kwa somo hilo moja ,
Ningekeuwa mimi baada ya utambulisho ningemwambia kwa kuwa nilikuwa njema nikaambulia kipigo, simu yake sina shida nayo ,ila nakwenda kutupa chooni, akanunue nyingine, ili ujinga wake umgharimu
 
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo;
mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari
kake akadondosha simu;
mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea,ak
anisonya tena msonyo wa dharau sana na
nikajuta kumgusa bega ka sababu ya kibao
alichonipiga.
Alipoondoa gari nikaiokota hiyo simu
nakuondoka zangu;
wala sikuizima.


Nafika town simu hiyo ikaita
nikapokea kwa shauku ya kujua nani....
haya ndo ya kawa maongezi yetu na mpigaji..

mimi;Hallo habari yako...
yeye;Nzuri;
mimi;nani wewe ...
yeye;Mimi ndo mwenye hiyo simu ....
mimi;Na mimi ndo nilokuita na ukanizaba kibao
pale stand ya ubungo leo na ukanisonya ....
yeye;Basi kaka nisamehe naomba unambie
ulipo nije tuelewane ....

Mimi;Nitakwambia baadaye ..
(nikakata simu na kuzima)
Swali nimwambie napatikana wapi au
nimpotezee ili liwe fundisho kwake?

Mpotezee na umtose mazima awe na adhabu siku nyingine anaitwa na watu


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hii constructed mail ipo siku nyingi.... Ungesema tu nimeicopy mahali na sio wewe imekutokea

Ya siku nyingi sana hii
 
Nakutumia pm nikueleze cha kumfanyia huyo bi dada maana huku wasije mods wakanipiga ban.:eyebrows::eyebrows:
 
Kuna watu wanadharau sana. we chomoa laini,kaiwekeke getho hadi mwaka upite ndo mrudishie.Dawa ya jeuri ni kiburi tu
 
Back
Top Bottom