Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,565
Kuna misemo/nahau za kiswahili nahisi hazina nafasi tena. Hii inatokana na uhalisia wa kizazi na maisha ya sasa. Mfano alie juu mngoje chini/haraka haraka haina baraka, kwa kizazi cha sasa sidhani, mtaka cha uvunguni...... Nao sijui kama Luna kizazi cha kuinama Bali in kuinua kitanda fast a tu. Hebu tujadili kwa pamoja nahau nyengine .