Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
vita ni vita muraa
vita ni vita muraa
Wao wanachojali ni kuuza hata kama ni outdated weapon, halafu wanabeba madini ya DRCHivi umadhani sehemu kama Congo, pale luna silaha yoyotw ya maana inatumika,ile vita ni vile vifaa vilivyokuwa outdated ndio vinatupwa pale,ndio maana inakuwa ya kuviziana.Hamna technology yoyote ya maana pale,iko kienyeji mno,ukianza na Maimai mpaka kule kwa Kagame,yaani imekaa kiusanii mno.
Well said brooVita(hasa visivyoepukika/vya lazima) vinatakiwa kutokea katika mazingira yafuatayo:-
1. Njia zingine za kutafuta amani zimeshindikana na madhara yanaendelea.
2. Idadi ya watakaokufa vitani isizidi ile ya waliokufa kabla.
Mengine waongezee wengine waongezee.