Lengo la vita ni nini?

Lengo la vita ni nini?

Vita vilianza zamani sana na lengo hasa lilikuwa nafikiri ni kujiongezea maeneo ya utawala.

Kuna aina nyingi za vita duniani kuna nchi kumfanyia ubabe tu mwenzie na kuanzisha mapambano.
Kuna baina ya serikali na waasi au magaidi.

Kuna wakati Albert Einstein alisema sijui vita vya III vya dunia vitakuwaje lakini naamini vita vya IV watu watapigana kwa Fimbo na mawe.
 
hadi unaanzisha thread hii haujui lengo la vita???? ngoja upigwe na mdogo wako ndo utajua lengo la vita.
 
Lengo la vita ni kuhodhi aidha kwa kutawala au kumiliki mali zilizo chini ya unayefanya vita naye.
 
hadi unaanzisha thread hii haujui lengo la vita???? ngoja upigwe na mdogo wako ndo utajua lengo la vita.
Nipigwe, ndo ntajua!!!? Mawazo yako ndo yametia nanga kufikiri!!?
 
Vita roho ya shetani, mara nyingi vyanzo vya vita bingo ni maswala na maslahi ya kidunia, vyanzo vya vita vingi ni havina maana Katika.maslahi mapana katika roho ya Umungu
Tunaambiwa na walimu wetu wa kiroho kuwa malaika Michael ndio jeneral mkuu huko mbinguni.
 
Wengi wanaokufa kwenye vita ni wanaume kwa hiyo lengo la vita ni kuweka idadi ya wanaume in check, maana wanaume wakiwa wengi kuliko wanawake ni hatari, ni bora wanawake wawe wengi kuliko wanaume
 
kwa sasa hivi vita hutokea kwa sababu yingi kama vile
1. pale maelewano yanashindwa kufikiwa kwa reason
2. kwa ajili ya tamaa ya kupata mali na nguvu ya kitawala, mfano huku Africa vita nyingi husababishwa na tamaa kuwa na nguvu ya kiutawala kati ya makundi yenye nguvu, na frustration za wale wanaokandamizwa
 
Ubinafsi na ufahari

Maana vita huanzishwa ili kupata "kitu" kwa kimdhuru mwingine(ama kumtokomeza kabisa), na baada ya vita kuna ushindi, alieshinda hujisikia fahari sana, kwamba yeye ni zaidi ya mwingine.
 
bwana wa vita, mungu wa majeshi!!!!! vita vinaleta balance kwenye jamii. pia heshima na haki haswa pale mnyonge akishinda.
 
Ufunuo 12:7 "Kulikua na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka nae akapigana nao pamoja na malaika zake;"
 
Back
Top Bottom