- Thread starter
- #41
Nimekaribia mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaido.
Nimekaribia mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaido.
Picha ndio hyo inanisikitisha, leo nilitaka kupelekwa kituoni kisa picha nikaoneka kibakaKapicha kidogo basi.
Unamaanisha nn, kwa maana sisi wa mikoani haturuhusiwi kuja daslam, au sababu Sina pasi , mbona mkuu wa mkoa anaonekana mwema hawezi turudishaMKUU WA MKOA ATAKURUDISHA KIJIJINI