Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Wewe ni mpumbavu . Hujui hatadunia inaendeshwaje? Tanzania inafuata utoaji haji wa jumuiya ya madoka.Shujaa aliyekomesha utapeli wa kisiasa wilayani Hai na kumsitafisha rasmi ubunge Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, leo amefikishwa mahakamani kwa heshima zote akiwa na ulinzi wa kiserikali kitu ambacho ni tofauti kabisa alivyofikishwa mwanzo.
Sabaya leo amefika mahakamani akiwa amevaa vizuri huku usoni akiwa amejawa na tabasamu, hii ni dalili njema kwa wazalendo wa nchi yetu. Kuna kila dalili uongo waliomzushia sasa umeanza kujitenga na ukweli.
View attachment 1823073
Unamisingi take! Mfno.
S
Fair trial . Sabaya anastahili hiyo haki ndo mana hajafungwa pingu wala kubughudhiwa akiwa mahakamani.
Ni mtuhumiwa siyo mtenda makosa ndo maana unaona unaona anapewa haki zote.kama binadamu. ( innocent till proved guilty) nalo hujui?
Inapaswa wanaomtuhumu wathibitishe tuhuma zao... vinginevyo wapenda haki hawalalamikii wala kushangilia mtu kutendewa haki... anataka haki itendeke!
Sabaya anawakilisha akili za UVCCM WENGI