themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Mzee wetu ni wiki sasa yupo hospitali taabani lakini anyemuita rafiki yake wa damu ambaye amekuwa akimsifia kila siku ndugu Paul Makonda hadi sasa hajakanyaga kabisa hospitalini kwenda kumuona
Hii inamaana gani au lekokobanga huwa anajipendekeza lakini hapendwi?
Hii inamaana gani au lekokobanga huwa anajipendekeza lakini hapendwi?