Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,488
- 7,938
Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli amewaasa Watanzania kuacha tabia ya kumsifia mtu baada ya kufariki dunia wakati akiwa hai husemwa kwa ubaya.
Lembeli amesema tabia hiyo inazidi kuchonganisha Taifa.
Akimzungumzia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema kuna kipindi watu walimsema sana huku akikiri hata yeye amewahi kumsema lakini baadaye walipokutana upinzani akagundua alikuwa mtu mwenye moyo safi, anayependa watu na asiyependa umasikini.
Lembeli amesema ndiyo maana umati mkubwa umejitokeza leo kumuaga kwa kuwa wanampenda na walikuwa wanamkubali.
Lembeli amesema tabia hiyo inazidi kuchonganisha Taifa.
Akimzungumzia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema kuna kipindi watu walimsema sana huku akikiri hata yeye amewahi kumsema lakini baadaye walipokutana upinzani akagundua alikuwa mtu mwenye moyo safi, anayependa watu na asiyependa umasikini.
Lembeli amesema ndiyo maana umati mkubwa umejitokeza leo kumuaga kwa kuwa wanampenda na walikuwa wanamkubali.