Kada maarufu wa CCM ambaye pia ni mbunge wa Kahama na mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na utalii, Dr James Lembeli ametahadharisha kwamba kitendo cha Prof Muhongo kutowajibishwa au yeye mwenyewe kutoachia madaraka kwa hiyari, kitaiua CCM kabla hata uchaguzi wa mwaka huu haujatangazwa.
Kada huyo amemtaka rais kikwete kumfuta kazi muhongo ili kuinusuru CCM na chuki dhidi ya wananchi na hatimaye kufa kabisa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa oktoba, 2015. Ametolea mfano wa Mwinyi na Lowasa waliowahi kuachia ngazi na hivyo kumshauri mhongo afuate mkondo huo endapo JK atagoma kumfuta kazi.
Chanzo: Nipashe
:israel:
Mwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
Utaliwa kiboga bure na muhongo haendi popote. Tarehe 28.1.2015 anaenda marekani kutuwakilisha kwenye mambo ya madini kwa wiki moja.
Wewe tembea uchi tu uliwe tigo.
Lembeli anamalizwa na maige anaepita kwa wapiga kura kuwaambia alichongewa na lembeli eti kaiba twiga, Maige anawauliza wananchi kuwa mnamfahamu twiga wanasema "ndio", unaweza kumswaga "hapana" sasa atamwibaje? wananchi wanaitikia hizo ni fitina.
Kada maarufu wa CCM ambaye pia ni mbunge wa Kahama na mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na utalii, Dr James Lembeli ametahadharisha kwamba kitendo cha Prof Muhongo kutowajibishwa au yeye mwenyewe kutoachia madaraka kwa hiyari, kitaiua CCM kabla hata uchaguzi wa mwaka huu haujatangazwa.
Kada huyo amemtaka rais kikwete kumfuta kazi muhongo ili kuinusuru CCM na chuki dhidi ya wananchi na hatimaye kufa kabisa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa oktoba, 2015. Ametolea mfano wa Mwinyi na Lowasa waliowahi kuachia ngazi na hivyo kumshauri mhongo afuate mkondo huo endapo JK atagoma kumfuta kazi.
Chanzo: Nipashe
:israel:
Huyu lembeli mpuuzi.. fisadi na mla rushwa mkubwa aliyewekwa mfukoni na nyalandu na makaburu baada ya Tanapa na ikulu kumzuia kuuza hifadhi ya katavi yeye na kilaza mwenzake nyalandu kwa makaburu naona anaganga njaa kwa mengi kama kwenye ishu ya Richmond walivyomchafua lowasa na kna..sta..mwakyembe..ana kilango malechela...malechela..selelii na kundi lao la mitume lililokua linalipwa na mlalamishi na mkwepa kodi mengi sasa watanzania walishawashtukia huyu mwehu na wenzake kna nassari wanaganga njaa kwa mengi ...lema na kna yerko nyerere waganga njaa....muhongo ni jembe na mkombozi wa watanzania umeme unasambaa vijijini kwa kasi ya ajabu wakati sku zote Rea ilkuwepo na power afrca ila hatukuwahi kuona hii kasi kubwa hivi mengi ni mbnafsi anataka aendelee kufilisi watanzania huyu mwehu alishasema rais mwinyi amewapa wahindi nyumba posta kawanyma wazawa mwinyi akaagza mengi apewe nyumba mbili mengi huyohuyo akauza nyumba alizopewa kwa wahindi...stupid guyKada maarufu wa CCM ambaye pia ni mbunge wa Kahama na mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na utalii, Dr James Lembeli ametahadharisha kwamba kitendo cha Prof Muhongo kutowajibishwa au yeye mwenyewe kutoachia madaraka kwa hiyari, kitaiua CCM kabla hata uchaguzi wa mwaka huu haujatangazwa.
Kada huyo amemtaka rais kikwete kumfuta kazi muhongo ili kuinusuru CCM na chuki dhidi ya wananchi na hatimaye kufa kabisa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa oktoba, 2015. Ametolea mfano wa Mwinyi na Lowasa waliowahi kuachia ngazi na hivyo kumshauri mhongo afuate mkondo huo endapo JK atagoma kumfuta kazi.
Chanzo: Nipashe
:israel:
Wanaotaka ccm ife ni kna mengi wanaokwepa kodi na kudalalia vtalu vya madini si muhongo anayeboresha huduma za umeme vijijin kwa kasiNi wazi Muhongo na JK hawakukutana barabarani........ Mbona wanapendana hivi,Yani JK yupo radhi CCM ife lkn sio kumtoa Muhongo............mahaba ya dhati.
Ni wazi Muhongo na JK hawakukutana barabarani........ Mbona wanapendana hivi,Yani JK yupo radhi CCM ife lkn sio kumtoa Muhongo............mahaba ya dhati.
Mwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
Wakuu
Tumeshuhudia na kuona watu waliopokea mabilioni mimi binafsi sikuona wala kusikia mgao ulipokelewa na Muhongo.
Je kuna mtu hapa jamvini anayeweza kutujuza kwa facts na siyo siasa.
Lembeli ni mbulula huyu mchumia tumbo njaa kali inamsumbua
Umasikini na ujinga ndo mtaji mkubwa wa ccm.
Lembeli ana radio yake pale kahama...sikumbuki jina lakini ...FM, huwa anaitumia kujielezea na kuwaumbua wabaya wake kisiasa. Nadhani bado ana mahali pa kujishikiza.....akihamia chama chochote atashinda, lakini anaweza kuendeleza USHIBUDA kwenye vyama hivyo.
Lembeli anamalizwa na maige anaepita kwa wapiga kura kuwaambia alichongewa na lembeli eti kaiba twiga, Maige anawauliza wananchi kuwa mnamfahamu twiga wanasema "ndio", unaweza kumswaga "hapana" sasa atamwibaje? wananchi wanaitikia hizo ni fitina.