.......akijibu kuwa yupo kwake Njiro utampa nini?Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Kama hamu yako ni kusikia uropokaji...peleka hiyo kiu yako kwa Makonda.uropokaji
Andika pole pole.....unakimbilia nini?...Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
kwani ni uongo? Africa kosa kuu ni kuambiana ukweli,Alikuja na mkwara wa watu kuacha kula ugali akidai ni chakula cha kimasikini. Labda kaungana na familia yake Toronto kufakamia burgers na pizza!
Wewe ni mjane?Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Ukisha jua alipo bei ya Sukari itashuka?Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Juzi tu ametoa waraka kwa serikali na saa 100.....kuhusu hali mbaya wananchi.....vs matumizi mabaya serikali v8 etc....yupo sanaTumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Tumpatia zawadi kwa maana kuna kila dalili ameanza kukua.......akijibu kuwa yupo kwake Njiro utampa nini?
Hivi aliongelea kuhusu V8 la kaka yake Mbowe?Juzi tu ametoa waraka kwa serikali na saa 100.....kuhusu hali mbaya wananchi.....vs matumizi mabaya serikali v8 etc....yupo sana
Tuaamini kuwa ameanza pata akiliUkisha jua alipo bei ya Sukari itashuka?
Na usishangae akaungana na HecheAnatafuta kiki mpya
Wa mzee MboweWewe ni mjane?