Lema yuko wapi?

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,044
2,566
Tumezoea kusika uropokaji wa aliekuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues kwani si kawaida yake kukaa kimya.
 
Kama umemmiss mfate kwake...Nchi inawapuuzi wanafiki hii wanataka kuskiliza ujinga wa machawa hawataki elimu ya kuwavusha kimaisha ndomana kauli zilizotamba zoote ni za machawa na vitoto vijinga LAKINI kauli za kujenga nchi na kupinga dhulma hazionekani za maana, poor Country.
Kauli za katiba mpya,chaguzi huru,kilimo chakisasa,elimu Bora hazinamashiko watu wanataka "nahapa ipoo kichogo ka zuchu" pumbafu kabisa.
 
Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Wewe ni mjane?
 
Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Ukisha jua alipo bei ya Sukari itashuka?
 
Tumezoea kusika uropokaji wa alirkuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia mitandao ya kijamii na hata kwenye mikutano.Ni muda umepita bila ya kumsikia huyu jamaa.Binafsi naamini atakuwa na issues.
Juzi tu ametoa waraka kwa serikali na saa 100.....kuhusu hali mbaya wananchi.....vs matumizi mabaya serikali v8 etc....yupo sana
 
Back
Top Bottom