aspen
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 501
- 166
Muafaka kati ya ccm na magwanda ni kwa maendeleo ya watu wa arusha mjini na kata zake sasa mambo ya kamati kuu ya nini imagine ungekuwa hai karatu au kwa lisu hayo mambo madiwani pekee wanaweza kutatua hata bila kumshirikisha huyo lema wa kishumundu sijui ni uru tokea awe mbunge arusha vurugu tupu je wakichukua nchi je si ndo kabisaaaaa any way amebakiza miaka minne sijui atarudi kuwaambia nini wananchi atajivunia toka amechaguliwa migogoro ameongeza jijini arusha ina boa sasa tunataka maendeleo kama vipi municipal iendeshwe na tume tumechoka hatutaki migogoro siye