fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Marytina umenena sina la kuongeza, chama kibaki na hadhi hata jimbo likipoteaMaridhiano ya ARUSHA ni batili cdm taifa haiwezi kuyaridhia.Kama swala ni wanainchi na madiwani wao inakuwaje hao madiwani waliomba at first CDM makao makuu mpaka ikaandaa maandamano?