Kwa taarifa tu,gazeti la Mwananchi la leo tarehe 25/07/2015,lina habari inayosema mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Ole Nangole,amesema Lowassa hakutendewa haki.
Kwel bhana CCM waftin to haooo
Kwa taarifa tu,gazeti la Mwananchi la leo tarehe 25/07/2015,lina habari inayosema mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Ole Nangole,amesema Lowassa hakutendewa haki.
Jibu swali wacha kujitekenya
Kama chadema wamefika hatua ya kumwalika lowasa kwenye chama chao, basi ni hatari. Kwa lugha nyingine wanamualika chenge, rostam na wengine wa aina hiyo! Watakuwa ni wapumbavu, binafsi nakatishwa tamaa na siasa za bongo hasa ninaposikia kuwa sasa lowasa ni mbeba bendera wa chadema. Sasa baada ya uchaguzi watatuambia kuwa wanapinga ufisadi?
Nikusahihishe mim si mkuu, pili jitahidi kujifunza uandishi sahihi, neno hili linakuumbua "husiyo" hiyo "h" haikutakiwa kuwepo na badala yake hilo neno lingesomeka hivi "usiyoijua" kosa lako lapili nikulitenganisha neno moja nakuoneka kama mawili na kumbe ni neno moja. "Husiyo ijua" badala yake ungeandika hivi, "usiyoijua" Jipange uje upya.
sisiwengine ni wanafkitu tunataka kujua ninini kitatokea hiyokesho lkn kiukweli hatavyama hatuna
Kwa hiyo unataka Lowassa abaki CCM mbona hamueleweki?
Wakati mwingine huwa nakubaliana na wanaosema Lowassa alibebeshwa Richmond kuiokoa serikali ya Kikwete, wamebaki kuimba ni fisadi lakini hawataki aende Chadema.
Hizo video hazitasaidia kitu watu hukosa na hutubu.ulishatolewa na Slaa kwenye kampeni ya Nasari pale Arumeru, ngoja tukutupie ka youtube ka video yake Slaa akitoa ushuhuda wa ufisadi wa Lowasa
Hili siyo jukwaa la elimu
mi sijibizani na jingajinga kama ww bendera fuata upepo. Wenzio siasa ni biashara we unavimba macho kungojea maandamano.
Unaesema fisadi alifisadi nini mbona hamkumpeleka mahakani
....Kumbe ni jukwaa la watu wlioishia darasa la pili! samahani kwa kuwaingilia.
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.
Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo.
Chanzo:Mtanzania
CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.
Sasa hizi kelele mnazofanya ni za nini, mwacheni Lowassa afanye siasa anazotaka mwenyewe vile vile waacheni Chadema wakaribishe mtu wanayemtaka.Nani kasema asiende chadema? akwendeee! unasema ccm inamng'ang'ania!! unachekesha kweli, yule ni mwanachama wa kawaida na hakufaa kugombea uongozi wa juu nchini, naona hapo kwenu anafaa mpeni bendera ya UKAWA kama haujageuka UKIWA!
kwani ukikaa kimya siku moja utaugua?
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.
Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo.
Chanzo:Mtanzania
CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.