Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Apewe nafasi ya kuthibitisha waziri mkuu mwongo kwanza.
 
Weeee thubuuutuuu anaijua posho aijui atakufa kwa njaa
 
Mwizi wa magari na wezi wa rasilimali za nchi, a k a mafisadi nan anastahil jela? Acha propoganda za ccm, mlianza na udin 2010 sasa inawageuka mnasema upinzan ndo wameleta udin. Sms za udin walizingeneza ccm na kuzituma kwa simu, hatujasahau
Huyu mwizi wa magari lazima atafungiwa si chini ya miezi mitatu,Arusha ahadi zake hamna kitu,maendeleo hamnakitu,na mikutano ya kimataifa inaamishiwa DAR,wanajuta sana wanaArusha kumchagua chizi,kudadadeki!!
 
bora aupeleke huko huko bungeni. Zaidi anaweza kukichafua chama chake.maana watz sasa watajua kwamba chadema ni chama cha dini gani

Wewe umeelewa kwamba anapeleka wapi? Maana hilo suala la ''dini gani'' binafsi sijakuelewa.
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.



Seat back n relax dude........................Kaa mkao wakula CDM hakuna kukurupuka........
 
Kwanza tunataka kuuliza uvaaji wa hijabu mashuleni ulianza mwaka 2010? Ni nani aliruhusu uvaavji huu huku akijua kuwa ni kuanza kugawa watanzania kidini? Tulisoma enzi zetu bila haya mambo na hakukuwa na tabu. Shame on you watu mnasema CDM
inazungumzia udini. Mambo wawaanzishe wao halafu leo mnabambikiza CDM?
Acha chuki za kina dada hijab kitu gani lina zuwia nini lina tenganisha nini acha kuwaza mawazo ya ya ajabu acha kupandikiza chuki hijab ni kitamba tu kama cha shati lako
Kama unashindwa kufikiria au kujuwa athari za maneno tumia kingamuzi kufikiria. Kwanza tumesha wajuwa nyiye ccm kaziyenu ni kuwagawa watu sisi tulisha amka mda huna mawazo ya kujenga mwazo ya aina hiyo peka kwako umulize mkeo au ndugu zako hatupo kujadili kitucha kututenganisha tunataka kujuwa tutaishi wala tz hatuna udini zaidi ya wanasiasa kutaka kutugawa ili waendeleye kuongoza au kubaki madarakani kituambacho kimepitwa na wakati ulimwengu wa digital
 
siungi mkono. Nadhani Waislam hawatamuangalia kikwete kama Kikwete. Watamuangalia Kikwete kama Musilam naLlema na CHADEMA kama Wakristo

bora iwe ivyo tujue moja....maana naona kuku mnaanza kutuchezea sharubu
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Mkuu pole sana yaani na kuwa mtu wa siku nyingi humu ndani huwezi tofautisha Udini kuwa si lazima ati viongozi wa dini flani wakiwa wengi ati Kikwete ndio anakuwa si mdini, hebu kaa chini jiulize mwenyewe inakuwaje then njoo na jibu kamili.Kuwa na mawaziri wengi Wakristo haiwezi kumtoa Kikwete kwenye sakata la udini kaa ujue hilo,Kikwete ni mdini kataa kubali.Hoja ya ati kuna viongozi wengi Wakristo haina nguvu kumbuka Kikwete ni Dictator kwa kuwa kila kitu yeye ndio anaamua so kuwa na Viongozi Wakristo wapo tu na wengi wao wapo kwa maslahi yao na familia zao lakini hawajali Utaifa njaa ndio zinawabana ndio maana hawana say kwa Kikwete,sasa mtu kama Wassira yule nae ni Kiongozi au Povu hata kusuluhisha ugomvi wa watoto hawezi mpaka apewe maagizo na Kikwete fanya hivi usifanye hivi,Lakini mna rais bana anafanya kazi zote huyo huyo ni Rais,waziri wa mambo ya nje,Jaji,waziri wa serikali za mitaa yaani kwa ufupi ndio Rais kituko kuanzia nchi ipate uhuru.
 
Naunga mkono msimamo
huu.Hata kama ningekua Lema nisingefanya hivyo.Akipeleka kutakua na
tofauti gani na alivyopeleka mwanzo hadi leo kimya.Mwendawazimu ni yule
anayefanya jambo lile lile kwa watu walewale wenaotumia ghiliba zile
zile za siasa ilele wakitegemea matokeo tofauti.Lema hawezi kuwa
mwendawazimu apeleke ushahidi ambao anajua matokeo ni yale yale

si ni huyu lema alisema leo ataingia bungeni licha ya kupigwa marufuku na spika na bado hakuingia, kinachowafanya muamini atafanya anachokisema nini, masaburi au?
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Ritz acha ubabaishaji, wewe unadhani Lema hana ushahidi? Mbona ushahidi wa PINDA MWONGO SPIKA AMEUKALIA HADI LEO? Mtikila alimwita KIKWETE akashitakiwa na akashinda kesi, au huna habari wewe? Tunataka huo ushahidi usomwe bungeni siyo upelekwe kwenye chamber ya ANNA MAKINDA halafu tuone mtatokea wapi.
 
HIVI KWA HIYO INAMAANA PM NI IBILISI? Maana kwa mujibu wa Biblia Takatifu yeyote ashuhudia uongo ni Ibilisi maana Shetani ndiye baba wa uongo
 
Kaka, Lema hajakataa kupeleka ushahidi lakini anataka athibitishe kama "alivyokashifu" kwa kuongea mbele ya bunge na wananchi kwa ujumla na sio kumwandikia katibu wa bunge then speaker akaone na kutoa hukumu kama ushahidi unatosha au hautoshi. Anachotaka Lema ni uwazi.

Mwambie huyo RITZ maana HEAD yake ngumu kuelewa kama KICHWA ya KONDOO!
 
Huyu mwizi wa magari lazima atafungiwa si chini ya miezi mitatu,Arusha ahadi zake hamna kitu,maendeleo hamnakitu,na mikutano ya kimataifa inaamishiwa DAR,wanajuta sana wanaArusha kumchagua chizi,kudadadeki!!

Aliiba gari la baba yako? Na kama aliiba hayo magari na MJOMBA wako IGP MWEMA ameshindwa kumkamata basi Lema ni GENIUS!!
 
Huyu mwizi wa magari lazima atafungiwa si chini ya miezi mitatu,Arusha ahadi zake hamna kitu,maendeleo hamnakitu,na mikutano ya kimataifa inaamishiwa DAR,wanajuta sana wanaArusha kumchagua chizi,kudadadeki!!

hivi ni nani mwenye jukumu la kuleta maendeleo hapo Arusha,Lema au serikali ya CCM inayotawala?ni nani anayesimamia itifaki ya hiyo mikutano?lema au serikali?sasa kama serikali imehamisha mikutano unamlaumu vipi Lema?hivi hujui hiyo kauli yako inamkaanga nani?kumbe mnafahamu kuwa serikali yenu imeshindwa kuleta maendeleo sema kama kawaida yenu,maovu yenu yote mmeamua kuigeuza Chadema kichaka chenu,hii kauli yako inaonyesha trend ile ile kama ya ugaidi!
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

apeleke ili nione udini wa jk na naweka wazi kabisa nipo mimi ni muslamu na nataka kujua udini wajk ...ili tuuonee natujuechamagani nichadini wekawazi chama cha dini kitajulikana tu
 
Back
Top Bottom