Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,338
- 1,126
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.
Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.
Siku saba siyo nyingi.
Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.
Kaka, Lema hajakataa kupeleka ushahidi lakini anataka athibitishe kama "alivyokashifu" kwa kuongea mbele ya bunge na wananchi kwa ujumla na sio kumwandikia katibu wa bunge then speaker akaone na kutoa hukumu kama ushahidi unatosha au hautoshi. Anachotaka Lema ni uwazi.