Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Hongereni Chadema kuonesha Picha yenu halisi dhidi ya Uislam, Wabunge watano wa Chadema wote wamekariri kilio cha Mwadhama Pengo kuwa Kikwete Mdini ila hakuna alojaribu kusemea kilio cha waislam. Haya Waislam mlio chadema kazi kwenu!

wewe acha hizo. mbona unaongea uongo hadharani? lini PENGO alisema kikwete ni mdini? kwa kuwa katiba ibara ya 18 inakupa uhuru wa kutoa maoni sishangai kwa ulichokiandika, ila jaribu kuandika FACTS ili zitusaidie watanzia
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

hiko kikao cha kuhitaji ushahidi wa lema waislam walikaa lini?

Mbona unapenda kufanya generalization, umeshaathirika na ngano za mzee said
 
wewe acha hizo. Mbona unaongea uongo hadharani? Lini pengo alisema kikwete ni mdini? Kwa kuwa katiba ibara ya 18 inakupa uhuru wa kutoa maoni sishangai kwa ulichokiandika, ila jaribu kuandika facts ili zitusaidie watanzia

chadema kabla hawajaingia mjengoni kwanza lazima wakae na viongozi wa makanisa kupangiwa nini wazngume bungeni?
 
PIA NASHAURI MWIGULU APEWE NAFASI YA KUDHIHIRISHA UDINI WA SLAA NA MWENENDO MZIMA WA KAMPENI KANISANI DHIDI YA SLAA 2010 NA MWINGINE AKIDAI CHADEMA NI CHAMA CHA KANISA APEWE NAFASI YA KUONGEA BUNGENI AU KWENYE MEDIA KISHA TUTAONA TAIFA LITAISHIA NA MSHINDI ATAKUWA NANI? Bila shaka huu ni ujinga usiovumilika na Lema anapaswa kuweka kando hisia zake za udini.
 
nakubaliana kabisa na mhe.G.Lema na kauli ya Mhe.Mkapa aliyozumza Songea ni ushahidi tosha chokochoko zote za udini zimestawishwa na utawala wa JK hii inaweza kuwa kwa yeye kujua ama kutojua lakini kwa level yake watanzania tunaokerw na hali hii tunatakiwa kuamini kuwa anajua anachokifanya!Kilio kingine cha ubaguzi wa kidini kipo NSSF-makao makuu,uongozi wa Ramadhani Dau unaendekeza upendeleo kutokana na dini yako,mwislamu wewe ni mwenzetu si mwislamu wewe si mwenzetu!
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Acha kuchanganya mambo,Sidhani kama LEMA alisema JK amependela dini yoyote either WAKRISTO or WAISLAM zaidi ya nyingine.WADINI ni wale wanaokuza haya mambo kama wewe.Umepata wapi ujasiri wa kuandika sentensi nilipigia mstari hapo juu?.
 
Ritz bado sana kukua wewe. Lema bado hajatoa uthibitisho wewe umeshatoa majibu yako, kwahiyo na wewe ni mdini, ili iweje kwako na Taifa zima?
 
bora aupeleke huko huko bungeni. Zaidi anaweza kukichafua chama chake.maana watz sasa watajua kwamba chadema ni chama cha dini gani

Kwani bungeni ndo wananchi hawatajua? Ooops sorry labda madam spika atatunga sheria nyingine itakayo anza kutumika siku hiyo hiyo kwa ajili ya kuzuia huo ushahidi usiingizwe kwenye kumbukumbu za bunge za siku hiyo!
 
hapo ni kweli kabisa, wampatie nafasi aeleze bungeni ushahidi wake huo, haina haja kupeleka uchochoroni alafu hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wahusika, na pia umma haupati ukweli kama imethibitika kwa madai yanayosemwa kwa watuhumiwa
 
kesi ya mbuzi ikasikilizwe na fisi unategemea nini,mh. Lema wakikupa muda wa kutoa ushaihidi bungeni fanya mambo wakikataa mpaka kwa kanuni anayoitumia madame spika ya kuwa ushahidi utatolewa kwa spika kwa njia atayoona inafaa mwambie watanzania wamechoka kuwa wahanga wa ushahidi wao kukaliwa au kutupwa kapuni
 
CCM walianzisha wimbo wa udini, CHADEMA wanaumwagilia maji na kuuwekea mbolea ili unawiri.
 
Aminia Kamanda wakitaka ushahidi wakupatie airtime bungeni uutoe live! Sio kusem eti uuwasilishe kwa kiti wala kamati gani sijui. Afu tuone watakufanya nini serukamba wakubwa kabisa hawa
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Mbona umeanza kulia lia....nani alikuambia ukichagua watu wa dini nyingine kwa misingi ya dini yao...na kuwaacha wenye uwezo kwa kuwa ni wa dini yako...basi wewe sio mdini? Kumwangalia mtu kwa udini kama ulivyoandika hapa ndio udini huo sasa!
 
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!

TUPO PAMOA KAMANDA onyesha njia.
CDM imedharauliwa, imenyanaswa kiasi cha kutosha . Sasa kataeni UNYOGE HO

 
Kwanza tunataka kuuliza uvaaji wa hijabu mashuleni ulianza mwaka 2010? Ni nani aliruhusu uvaavji huu huku akijua kuwa ni kuanza kugawa watanzania kidini? Tulisoma enzi zetu bila haya mambo na hakukuwa na tabu. Shame on you watu mnasema CDM inazungumzia udini. Mambo wawaanzishe wao halafu leo mnabambikiza CDM?

Hii haina tatizo lazima kuheshimiana....huwezi kumlazimisha mtu kufanya kile ambacho conscience yake hamtumi kufanya hivyo kutokana na perception yake...haya mavazi ni tamaduni pia...huwezi kumshawishi hata kwa viboko dada yangu wa kalemela Magu kuvaa vibikini kama wafanyavyo watoto wa dar keko...
Hii kwangu haina tatizo....and Inter-religious network for peace walibariki kitu hii....
 
Mi nakubaliana na lema kwan hakuna sababu ya kuthibitisha udini wa Jk wakati ule wa Pinda haujawai somwa popote wameukalia 2 huko washenzi sana hawa spika na jopo lake wanakula hela za bure na hakuna wanalolifanya la msingi

Kinachokuuma wewe ela tu
 
Hongereni Chadema kuonesha Picha yenu halisi dhidi ya Uislam, Wabunge watano wa Chadema wote wamekariri kilio cha Mwadhama Pengo kuwa Kikwete Mdini ila hakuna alojaribu kusemea kilio cha waislam. Haya Waislam mlio chadema kazi kwenu!

Usiangalie dini ya Kikwete bali angalia tabia ya Kikwete....ni mdini kwa sababu anateua watu kwa misingi ya udini...kwa mujibu wa mawaziri wake Kikwete aliteua makatibu wakuu wengi wakristo ili asionekane ni mdini...kwa hiyo ni mdini kwa kuwapendelea wakristo badala ya kuangalia uwezo....
 
Hongereni Chadema kuonesha Picha yenu halisi dhidi ya Uislam, Wabunge watano wa Chadema wote wamekariri kilio cha Mwadhama Pengo kuwa Kikwete Mdini ila hakuna alojaribu kusemea kilio cha waislam. Haya Waislam mlio chadema kazi kwenu!
Waislamu walioko CHADEMA wahamie CUF, lakini ukumbuke kuwa naibu katibu wa CUF Julius Mtatiro alisema yale yale ambayo Lema aliyasema.
Kumbeee ndio mana hata Ismail Husa alisema, Tumeshindwa kupata kiti cha Uzi kwa sababu jimbo lile limejaa wakristo wengi kutoka bara
 
Limekuwa la waislamu tena mkubwa?

Tangu lini Ritz akatoa comment ya maana?!!! Huyo tushamzoea...
Lema atatoa ushahidi wake kwa watanzania katika mikutano ya hadhara! sasa hapo wananchi ndio watapima ukweli wa kauli aliyoitoa Bungeni!
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Umesoma post ukiwa na njaa?, maana ya Lema sio kuficha chocho bali anataka arushe live mjengoni. Namuomba Lema arushe vyote lakini sio ule ushahidi wa J.K akichanwa na Ponda kwamba amewaingiza mjini wakati aliwaunga mkono kina Ponda walipowashawishi misikitini wasimchague ''Padri Slaa''. Maskini rais wenu!!!
 
Back
Top Bottom