Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Kwanza tunataka kuuliza uvaaji wa hijabu mashuleni ulianza mwaka 2010? Ni nani aliruhusu uvaavji huu huku akijua kuwa ni kuanza kugawa watanzania kidini? Tulisoma enzi zetu bila haya mambo na hakukuwa na tabu. Shame on you watu mnasema CDM inazungumzia udini. Mambo wawaanzishe wao halafu leo mnabambikiza CDM?
Hiyo kaptula ,shati,sketi blauzi alianzisha nani mashuleni?Kwa kifupi mtu avae chochote anachotaka kuvaa ilimradi kinahifadhi mwili na halazimishi mwengine avae anachotaka kuvaa yeye.Huo ndiyo uhuru wa mavazi.
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

point yako hapa ni waislam wapime nani kajaa serikalini. Sio wapime ni vigezo gani hutumika kuwapata watumishi wa serikali? Tnz ina bahati mbaya kuwa na watu kama wewe! sorry sikutaka niandike hivi ila nalazimishwa na michango yenu hapa jf
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.
Wewe riziwani unajifanya wewe ni Mungu mtu kumbe mshamba tuu....ndio kikwete ndie kinara wa udini, hata wewe ni mdini..mtoto wa nyoka ni nyoka.nyambafff kabisa.
 
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!
Busara hapa ni kupeleka na unaowapelekea kutokupa adhabu ima kwa vithibitisho vyako kuwa vina ukweli na wao kuona aibu kuumbuka au achague kutokuwa na busara kwa kutopeleka na kuwapa mwanya kufikia maamuzi kwamba hukupeleka vithibitisho na ameshindwa kuithibitisha na kuamua kumpa adhabu kwa kauli uliyoitoa na kushindwa kuthibitisha.Ushauri kama kweli anaweza kuthibitisha apeleke la sivyo atakuwa ameshakata tiketi ya adhabu dhidi yake.kwani kutofanya hivyo ni sawa na kushindwa kuthibitisha. Hasira ya mkisi furaha kwa mvuvi au Hasira Hasara!
 
Kwanza tunataka kuuliza uvaaji wa hijabu mashuleni ulianza mwaka 2010? Ni nani aliruhusu uvaavji huu huku akijua kuwa ni kuanza kugawa watanzania kidini? Tulisoma enzi zetu bila haya mambo na hakukuwa na tabu. Shame on you watu mnasema CDM inazungumzia udini. Mambo wawa
anzishe wao halafu leo mnabambikiza CDM?

Nakubali kabisa hiyo ni dalili kubwa ya udini.
Mbona wakati tunasoma haya hayakuwepo?
 
Nakushauri kamanda wangu wa ukweli usithubutu kabisa kupeleka ushahidi walioomba kuhusu udini wa dhaifu. Tuko nyuma yako hata wakikupa adhabu gani sababu tumewazoea. Nasema hivyo kwa sababu mpaka sasa ushahidi uliotoa wa mzee wa kulialia mpaka leo wameukalia na haijulikani watauweka hadharani lini. Vivyo hivyo na ushahidi wa Mh.Mnyika kuhusu Mwigulu kuhusika na EPA nao wamepotezea. Sasa mtakuwa mnapeleka ushahidi wa nini? waweke hadharani kwanza ule wa awali ulio peleka ndipo uwape nondo nyingine.

Kiti cha spika kimekuwa kichaka cha wahalifu wa nchi hii. hakuna jambo lenye manufaa na nchi hii litafanyiwa kazi. Nadhani leo watanzania wote ni mashuhuda jinsi spika asivyo fuatata kanuni kwa kuweka wino kwenye adhabu ya wabunge waliotolewa nje juzi. Yaani unaona kabisa huyu mama ni empty headed.

Empty heading inamaana bora hata chizi ama tahahira siyo?
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

hii nayo ni hoja yako tofauti na hiyo tunayoichangia inaelekea wewe siyo mfuatiliaji wa mambo na unajaji kutokana na ulivyotumwa kabla ya kuangalia mwelekeo wa upepo, na aihitaji miwani ama tharubini ili kujua kama jk ni mdini maana kitendo cha kutamka hadharani ktk kampeni zake za 2010 alithubutu kutamka hadharani kuwa CDM ni chama cha kikristo pia akaja na ukanda je utasema mtu huyu si mdini? Na hana nia ya kutugawa?
 
Hongereni Chadema kuonesha Picha yenu halisi dhidi ya Uislam, Wabunge watano wa Chadema wote wamekariri kilio cha Mwadhama Pengo kuwa Kikwete Mdini ila hakuna alojaribu kusemea kilio cha waislam. Haya Waislam mlio chadema kazi kwenu!

7000 kwa ajili ya hii comment umeipata japo haitakuwa na impact wanavyodhani hao walokutuma
 
Ni kweli Mkuu Mtikila yeye alisema Jk,ni "GAIDI"na kweli Mahakama ilithibitisha Kuwa Kauli ya Mtikila pasipo Shaka ni ya Ukweli!!

Kauli ya Mh, Lema ni kwamba alisema JK,ndie Mwanzilishi wa Udini Tanzania!! Je huoni kwamba kauli hizi zinatofautiana??

Cha Msingi hapa ni kwamba SPIKA eleze kwanza ule ushahidi wa Tuhuma ya kwanza juu Kauli ya Waziri Mkuu kusema uongo.....na aliyomuagiza Lema alete ushahidi je aliuleta??

Huwezi kushugulikia kesi ya leo mwaka huu 2013,wakati kuna kesi ya mwaka Juzi 2011,kwa mtuhumiwa yule yule.

Labda Nimshauri Mh Lema kwamba Usikubali kuleta au kuonyesha Ushahidi kwa kuwa ulipo fanya hivyo mara ya kwanza hukuambiwa kwamba ushahidi wako ni sahihi au sio!!

CCM HAIKUBALIKI SOTE TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!!!

Well well said mkuu
 
Kama alichosema Prof. Mwandosia kuhusu wasaidizi wa Rais pale Ikulu ni kwel then Lema yuko sahihi.
 
Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.
Hujui maana ya udini, udini si kujaza waislam au wakristo serikalini.
 
spika anatakiwa atoe mwiba wa takoni kisha akae chini na kuutoa mwiba wa mguuni...
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

We ndo acha kuropoka,soma comment za wenzio ujifunze,alipeleka ushahidi kuhusu Mh Pinda kusema uongo na ushahidi huo haujasomwa bungeni wala kutolewa maamuzi mpaka leo.Unataka awe anapeleka kuujaza tu au ufanyiwe kazi?
 
Back
Top Bottom