Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

hivi wakati mkapa yupo madarakani na vuf ikiwa inashika hatamu mbungeni, waliisha wahi kusimama na kumtuhumu mkapa kuwa ni mdini.
 
Nakubali kabisa hiyo ni dalili kubwa ya udini.
Mbona wakati tunasoma haya hayakuwepo?
Udini tunausoma tu kwenye vyombo vya habari. Uraiani wananchi hatuna hayo.
Nina wasiwasi udini unafanywa hoja ili kuficha mambo ya muhimu yasijadiliwe. Ni sawa na matusi ya baadhi ya wabunge yanapogonga vichwa vya habari huku hoja za msingi zikiwekwa kando.
Tufike mahali tuwe makini tusitoe kipaumbele kwa mambo ya kijinga.
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.


Udini wenyewe waweza kuwa waislamu kukosa nafasi za kutosha serikalini. Kwani Lema akijikita kuelezea ushahidi wake in favor of muslims kutakuwa na tatizo? So far waislam ndo wanaolalamika kunyimwa fulsa.
 
Huyu mwizi wa magari lazima atafungiwa si chini ya miezi mitatu,Arusha ahadi zake hamna kitu,maendeleo hamnakitu,na mikutano ya kimataifa inaamishiwa DAR,wanajuta sana wanaArusha kumchagua chizi,kudadadeki!!
Ongeza na mengine, mwite vyovyote unavyotaka lakini ni wewe unayeonekana kituko. Hata maneno unayotumia ni kipimo cha uelewa wako. Unachangia hoja muhimu kama uko kwenye mipasho!
 
bora aupeleke huko huko bungeni. Zaidi anaweza kukichafua chama chake.maana watz sasa watajua kwamba chadema ni chama cha dini gani

He, mkuu Malaria Sugu umefufuka lini? Kaka rejesha ile avatar yako kaka! hahahahhaa, nikiona jina lako tu naangua kicheko...MALARIA SUGU!
 
Last edited by a moderator:
Sioni udini wa Kikwete nachoona ni dini yake tu labda Lema aseme kama dini ya Kikwete ndio tatizo kwake.
 
Hiyo kaptula ,shati,sketi blauzi alianzisha nani mashuleni?Kwa kifupi mtu avae chochote anachotaka kuvaa ilimradi kinahifadhi mwili na halazimishi mwengine avae anachotaka kuvaa yeye.Huo ndiyo uhuru wa mavazi.
Hatukuwa na hijabu. Waislam wakaomba watoto wao waruhusiwe kuvaa hijabu na vile vitambaa mashuleni kufunika kichwa!! Huoni kama hapo ndiyo mbegu ya udini ilianza? Kwani wakati wanavaa sketi na blousi waislam hawakuwepo? Mstituletee udini hapa halafu mnaanza kuwasukumia CDM!! Sasa na vijana wenu mashuleni wavae kanzu maana itawasitiri zaidi ili wafiche ile uvaazi wa mgegezo, a.k.a kata kei!!!
 
Acha chuki za kina dada hijab kitu gani lina zuwia nini lina tenganisha nini acha kuwaza mawazo ya ya ajabu acha kupandikiza chuki hijab ni kitamba tu kama cha shati lako
Kama unashindwa kufikiria au kujuwa athari za maneno tumia kingamuzi kufikiria. Kwanza tumesha wajuwa nyiye ccm kaziyenu ni kuwagawa watu sisi tulisha amka mda huna mawazo ya kujenga mwazo ya aina hiyo peka kwako umulize mkeo au ndugu zako hatupo kujadili kitucha kututenganisha tunataka kujuwa tutaishi wala tz hatuna udini zaidi ya wanasiasa kutaka kutugawa ili waendeleye kuongoza au kubaki madarakani kituambacho kimepitwa na wakati ulimwengu wa digital

Fundi25, nafikiri hujajua mwanzo wa hii thread ni kitu gani? Ni kuwa Mwigulu wenu wa SSM alisimama akasema Udini ulianza 2010 na CDM? Kitu ambacho si kweli. Walioanza udini ni SSM kuanzia wakati wa CUF walisema CUF yenu ni ya udini na uislam na iko associated na Chechnya , Kosovo, n.k!! Kweli wakatoa na silaha ambazo usiku wa wa kuamkia uchaguzi 2005 walidai CUF walikamatwa navyo!! wakati huo vyama vingine vya upinzani vilikuwa havina nguvu kwa kuwa pia viongozi wake wengi walikuwa mapandikizi ya usalama wa Taifa. Hakika hapa SSM ilifanikiwa kuimaliza CUF na mwisho wakaamua kufunga ndoa!!! Sasa wanataka kutumia mbinu ile ile kuiharibu CDM, sasa kupitia udini wa UKRISTO!! Ila kwa sasa wanashindwa maana watanzania wameshajua janja ya nyani? Naamini sasa utakuwa umenielewa!!

Sasa basi, Lema alisimama kukanusha haya kwa kuwa evidence zipo wazi kuwa waasisi wa udini na ukabila, na ukanda ni akina nani? Ila sasa Lema amekataa hatapeleka ushahidi kwa kuwa ushahidi uko wazi, na pia hawezi kutumia muda wake kutafuta ushahidi ambao huwa haufanyiwi kazi!! Kuandaa ushahidi unamaliza muda wake wa kujiandaa na vikao vya bunge!! Kweli nyie ni wajanja sana. Ule ushahidi mwingine Lema alipeleka tena kwa jambo fulani na ulikuwa wa kweli hivi wakuu uliishia wapi? Tuache propaganda tujenge nchi!! umaskini unaua ndugu zetu, huduma muhimu hakuna, kuna njaa na sasa ni chakula cha misaada kinatembea huko wa wananchi maskini!! Au nako hujasikia tena jinsi viongozi wenu wanatumia chakula cha msaada kujineemesha na kukigawa kwa upendeleo wa kichamachama? Tuwe wazi bila kufungamana na upande wowote pale linapokuja suala muhimu kwa mustakabali wa taifa letu tukufu Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.

Mwisho mawazo yangu nitoayo JF hayahusiani kwa namna yoyote ile na familia yangu(mke na watoto wangu) , ndugu yangu au rafiki. They are solely mine!! Uwe na adabu.
 
Naunga mkono hoja akuna mambo ya uchochoroni,yaliyogizani yawekwe hadharani kama mbwai na iwe mbai
 
Back
Top Bottom