Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

Lema: Sitapeleka ushahidi wangu uchochoroni tena!!

eumb

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
149
Reaction score
70
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!
 
Kwani kosa la Lema ni nini?
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!
 
Naunga mkono msimamo huu.Hata kama ningekua Lema nisingefanya hivyo.Akipeleka kutakua na tofauti gani na alivyopeleka mwanzo hadi leo kimya.Mwendawazimu ni yule anayefanya jambo lile lile kwa watu walewale wenaotumia ghiliba zile zile za siasa ilele wakitegemea matokeo tofauti.Lema hawezi kuwa mwendawazimu apeleke ushahidi ambao anajua matokeo ni yale yale
 
Mi nakubaliana na lema kwan hakuna sababu ya kuthibitisha udini wa Jk wakati ule wa Pinda haujawai somwa popote wameukalia 2 huko washenzi sana hawa spika na jopo lake wanakula hela za bure na hakuna wanalolifanya la msingi
 
Nakushauri kamanda wangu wa ukweli usithubutu kabisa kupeleka ushahidi walioomba kuhusu udini wa dhaifu. Tuko nyuma yako hata wakikupa adhabu gani sababu tumewazoea. Nasema hivyo kwa sababu mpaka sasa ushahidi uliotoa wa mzee wa kulialia mpaka leo wameukalia na haijulikani watauweka hadharani lini. Vivyo hivyo na ushahidi wa Mh.Mnyika kuhusu Mwigulu kuhusika na EPA nao wamepotezea. Sasa mtakuwa mnapeleka ushahidi wa nini? waweke hadharani kwanza ule wa awali ulio peleka ndipo uwape nondo nyingine.

Kiti cha spika kimekuwa kichaka cha wahalifu wa nchi hii. hakuna jambo lenye manufaa na nchi hii litafanyiwa kazi. Nadhani leo watanzania wote ni mashuhuda jinsi spika asivyo fuatata kanuni kwa kuweka wino kwenye adhabu ya wabunge waliotolewa nje juzi. Yaani unaona kabisa huyu mama ni empty headed.
 
mbunge wa arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa raisi jk ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu pm pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na lema, nafikiri speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!

bora aupeleke huko huko bungeni. Zaidi anaweza kukichafua chama chake.maana watz sasa watajua kwamba chadema ni chama cha dini gani
 
naunga mkono msimamo huu.hata kama ningekua lema nisingefanya hivyo.akipeleka kutakua na tofauti gani na alivyopeleka mwanzo hadi leo kimya.mwendawazimu ni yule anayefanya jambo lile lile kwa watu walewale wenaotumia ghiliba zile zile za siasa ilele wakitegemea matokeo tofauti.lema hawezi kuwa mwendawazimu apeleke ushahidi ambao anajua matokeo ni yale yale

siungi mkono. Nadhani Waislam hawatamuangalia kikwete kama Kikwete. Watamuangalia Kikwete kama Musilam naLlema na CHADEMA kama Wakristo
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.
 
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!

Namshauri Lema awasiliane na Mchungaji Mtikila, yeye alitoa madai hayo, akashitakiwa na akashinda kesi. Anaweza kusaidia sana ukijumlisha na ushahidi ulionao.
 
Mbunge wa Arusha mjini ametoa kauli nzito kuhusu yeye kutoa ushahidi wa kudhibitisha kauli yake bunge kuwa Raisi JK ni mdini, amesema kamwe hata peleka ushahidi wake uchochoroni tena kama alivyofanya awali pale alipomtuhumu PM Pinda kuwa alisema uongo bungeni.

Hapo nakubaliana sana na Lema, nafikiri Speaker ampe nafasi adhibitishe japo kufanya hivyo kunaweza kuleta balaa hasa pale atakaposhusha nondo za kweli!!

Kwanza tunataka kuuliza uvaaji wa hijabu mashuleni ulianza mwaka 2010? Ni nani aliruhusu uvaavji huu huku akijua kuwa ni kuanza kugawa watanzania kidini? Tulisoma enzi zetu bila haya mambo na hakukuwa na tabu. Shame on you watu mnasema CDM inazungumzia udini. Mambo wawaanzishe wao halafu leo mnabambikiza CDM?
 
Hongereni Chadema kuonesha Picha yenu halisi dhidi ya Uislam, Wabunge watano wa Chadema wote wamekariri kilio cha Mwadhama Pengo kuwa Kikwete Mdini ila hakuna alojaribu kusemea kilio cha waislam. Haya Waislam mlio chadema kazi kwenu!
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Tatizo nini?
Mwache Lema atapike ushahidi wake pale mjengoni hadharani na iingizwe kwenye hansad za bunge, huko kwa makinda trash can haijawekwa kwa ajili ya kutupitia ushahidi wa vyama vya upinzani unapoonekana kuwatoa nyongo CCM na serikali yake.

Lema aliagizwa pale kwenye hadhara ya bunge alete ushahidi, hivyo kwa njia hiyo hiyo afikishe ushahidi huo.
 
Kwa sababu haya ni mapambo lazima kubadili mbinu.Lakini ni muhimu kutokusahau kuwa mbinu yoyote lazima ionekane ni mbinu muafaka na ya haki.

Kwangu mimi kwa sababu Spika pamoja na Jopo lake wamekuwa na upendeleo hivyo Mhe.afaa kukaa na Mkoba wake wa Ushahidi muda wote aingiapo Bungeni na hakuna kuwakilisha nakala kwa Ofisi ya Bunge mpaka atakapowasilisha live Bungeni ndipo Nakala itolewe.

1.Hii ni kwa mujibu wa Kanuni ya Spika na Ofisi yake Kushindwa kuwasilisha Bungeni taarifa za kuthibitisha Kauli ambazo zilitolewa awali na Wabunge kadhaa na Spika akaomba uletwe uthibitisho na ukaletwa na yeye kushindwa kuwasilisha Bungeni kwa Mjadala.

2.Kanuni nyingine Wapiga kura wanahaki ya kujua na kusikia kama kweli Mbunge wao anatuhuma ya kweli au za kutunga hivyo kumsikia akizungumza kwa maneno yake ni haki ya Kikatiba na wala si matakwa ya Spika na Ofisi yake.
 
Namshauri Lema awasiliane na Mchungaji Mtikila, yeye alitoa madai hayo, akashitakiwa na akashinda kesi. Anaweza kusaidia sana ukijumlisha na ushahidi ulionao.

Ni kweli Mkuu Mtikila yeye alisema Jk,ni "GAIDI"na kweli Mahakama ilithibitisha Kuwa Kauli ya Mtikila pasipo Shaka ni ya Ukweli!!

Kauli ya Mh, Lema ni kwamba alisema JK,ndie Mwanzilishi wa Udini Tanzania!! Je huoni kwamba kauli hizi zinatofautiana??

Cha Msingi hapa ni kwamba SPIKA eleze kwanza ule ushahidi wa Tuhuma ya kwanza juu Kauli ya Waziri Mkuu kusema uongo.....na aliyomuagiza Lema alete ushahidi je aliuleta??

Huwezi kushugulikia kesi ya leo mwaka huu 2013,wakati kuna kesi ya mwaka Juzi 2011,kwa mtuhumiwa yule yule.

Labda Nimshauri Mh Lema kwamba Usikubali kuleta au kuonyesha Ushahidi kwa kuwa ulipo fanya hivyo mara ya kwanza hukuambiwa kwamba ushahidi wako ni sahihi au sio!!

CCM HAIKUBALIKI SOTE TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!!!
 
Lema kaishaona mambo magumu anatafuta pakutokea tatizo la kuropoka ovyo.

Lema peleka ushahidi bungeni acha kulia lia.

Siku saba siyo nyingi.

Lema Waislam wanataka kujua udini wa JK ili wapime serikali ya JK dini ipi wamejaa serikalini Waislm au Wakirsto.

Limekuwa la waislamu tena mkubwa?
 
Back
Top Bottom