P, unaendelea kuiamini wakati Mwigulu kishakili kazi ya Mungu ndio sahihi?? Una moyo mgumu sana P aka bgIle video ni ya kweli na hata Lwakatare ana lijua hilo.
Haya mambo ya kusema imepandikizwa maneno ni katika kujinasua tu.
P, unaendelea kuiamini wakati Mwigulu kishakili kazi ya Mungu ndio sahihi?? Una moyo mgumu sana P aka bgIle video ni ya kweli na hata Lwakatare ana lijua hilo.
Haya mambo ya kusema imepandikizwa maneno ni katika kujinasua tu.
Huyu Lema kutakuwa kuna jembe amelimiss huko jela, si bureg[/QUOTE ]Kwi kwi kwiii!!!anataka kwenda kuvunja jungu
Yani Lema na the rest of CHADEMA watakuwa wana-entertain uvunjaji jungu, ndio maana wakatuhumu CUF kwa kuwa na wasiwasi wenda CUF wakawaibia ma-liberali wao. Dr Slaa kapata mwaliko wa chama cha CDU, ambacho pia ni wale wale (maliberal).
Lema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.
hamy-d=rathia sweet?????
Why reaching conclusion so fast?
What makes you think hamy-d = radhia sweety?
Try not to keep your mind too low, you can think more than that.
Lema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.
Taratibu zipo na zina eleweka, sasa kwanini CHADEMA na wafuasi wake uwa hawazifuati?
Kwanini CHADEMA wana penda kuwa watu wa vurugu tu? nchi gani hapa ulimwenguni ina ongozwa bila miiko?
Hawa wahuni wa CHADEMA wakiachwa watahatarisha amani na hali ya usalama, serikali kupitia mamlaka zake zinazo husika wakidhibiti kwa haraka hiki chama.
hata ww kwakuandika haya, umeshapata popularity..?
Wacha weeh, vijimambo vya watoto wa wenyemenoIle video ni ya kweli na hata Lwakatare ana lijua hilo.
Haya mambo ya kusema imepandikizwa maneno ni katika kujinasua tu.
Ndugu wana-JF,
Mbunge wa Arusha bwana Lema na wafuasi wake wapatao 100, wameripotiwa
kuvamia kituo kidogo cha polisi cha Sombetini, kwa lengo la kushinikiza
askari wa kituo hicho kuwaachia huru vijana ambao wamekuwa wakikamatwa
na polisi hao mwanzoni mwa wiki hii.
Shinikizo hili la mbunge Lema na wapambe wake ni kufuatia hali ya
wasiwasi haliyo ijenga yeye na hao makamanda, eti ya kuwa kuna mpango
mahususi wa kudhoofisha mchakato wa uchaguzi hasa ushiriki wa kupiga
kura, kwani bwana Lema ana amini vijana hao waliopo rumande ni wafuasi
wa CHADEMA hivyo ni lazima wataipigia kura.
My take;
Serikali sasa iamue, kwani haya mambo ya 'kulea lea' matukio ya aina hii
hasa yanayo sababishwa na wanasiasa uchwara ambao kimsingi wamefilisika
kisiasa, yana weza kuliingiza taifa katika machafuko makubwa.
Kitendo hiki cha CHADEMA na wafuasi wake kuvamia vituo vya polisi si cha
kigeni, kwani itakumbukwa walisha wahi kufanya kitendo cha aina hii na
kusababisha athari kubwa ikiwemo upotevu wa maisha ya raia wasio na
hatia.
![]()
You've said it all!!! Lema is a troublemaker.
Ndugu wana-JF,
Mbunge wa Arusha bwana Lema na wafuasi wake wapatao 100, wameripotiwa kuvamia kituo kidogo cha polisi cha Sombetini, kwa lengo la kushinikiza askari wa kituo hicho kuwaachia huru vijana ambao wamekuwa wakikamatwa na polisi hao mwanzoni mwa wiki hii.
Shinikizo hili la mbunge Lema na wapambe wake ni kufuatia hali ya wasiwasi haliyo ijenga yeye na hao makamanda, eti ya kuwa kuna mpango mahususi wa kudhoofisha mchakato wa uchaguzi hasa ushiriki wa kupiga kura, kwani bwana Lema ana amini vijana hao waliopo rumande ni wafuasi wa CHADEMA hivyo ni lazima wataipigia kura.
My take;
Serikali sasa iamue, kwani haya mambo ya 'kulea lea' matukio ya aina hii hasa yanayo sababishwa na wanasiasa uchwara ambao kimsingi wamefilisika kisiasa, yana weza kuliingiza taifa katika machafuko makubwa.
Kitendo hiki cha CHADEMA na wafuasi wake kuvamia vituo vya polisi si cha kigeni, kwani itakumbukwa walisha wahi kufanya kitendo cha aina hii na kusababisha athari kubwa ikiwemo upotevu wa maisha ya raia wasio na hatia.
![]()
ok the authority of troublemaker, how about chemba au bado yupo kwenye probotion so hujamconfirm bado? ww humjui Lema inawezekana unasikia simulizi plz jipe muda hata wa kumsikiliza kwenye mikutano yake au ongea naye ana kwa ana utajiona mjinga sanaLema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.
well your mental acumen is below that of imbeciles! Your mind thinks anticlockwise. If you could get into what Lema is passing through, ungeshakufa! The demons from Dr. Fastjet are trying to haunt him