Lema na wafuasi wake wavamia kituo cha polisi

Lema na wafuasi wake wavamia kituo cha polisi

si afadhali mwizi wa magari kuliko mtawala muuza nchi anayekuwa na wasaidizi katika chama wanaofadhiri uharamia katika bahari ya hindi kwa kutumia biashara haramu ya meno ya tembo.

sifa za mwanachadema
1.wanajifanya wasomi hata kama ni mambumbumbu
2.wao kila siku wanaonewa hata kama wanavunja sheria za nchi
3.wao ndio wenye haki kuliko wananchi wengine
4.wanaamini umasikini umeletwa na ccm hata kama wao ni wavivu
5.wanaamini kila anayewapinga na kuwakosoa ni ccm hata kama ni mfuasi wa chama kingine cha siasa tofauti na ccm
6.wanaamini kupaza sauti na kutoa mishipa ya shingo ndio uanaharakati
 
sifa za mwanachadema
1.wanajifanya wasomi hata kama ni mambumbumbu
2.wao kila siku wanaonewa hata kama wanavunja sheria za nchi
3.wao ndio wenye haki kuliko wananchi wengine
4.wanaamini umasikini umeletwa na ccm hata kama wao ni wavivu
5.wanaamini kila anayewapinga na kuwakosoa ni ccm hata kama ni mfuasi wa chama kingine cha siasa tofauti na ccm
6.wanaamini kupaza sauti na kutoa mishipa ya shingo ndio uanaharakati

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/469098-updates-kutoka-manyara-mary-nagu-nusura-achomwe-moto-2.html
 
sifa za mwanachadema
1.wanajifanya wasomi hata kama ni mambumbumbu
2.wao kila siku wanaonewa hata kama wanavunja sheria za nchi
3.wao ndio wenye haki kuliko wananchi wengine
4.wanaamini umasikini umeletwa na ccm hata kama wao ni wavivu
5.wanaamini kila anayewapinga na kuwakosoa ni ccm hata kama ni mfuasi wa chama kingine cha siasa tofauti na ccm
6.wanaamini kupaza sauti na kutoa mishipa ya shingo ndio uanaharakati
acha kutuchafulia hewa mshuzi wako unanuka sana.
 
Ndio muwaachie sasa,hao wananchi wasio na hatia,

Lema ni mbunge wao sasa ukitaka afanye nin??
 
Naona Lema anahamu tu ya kwenda jela kibajaji akisema wanasema anamtukana.
 
Lema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.

Outmoded notions! Who has confirmed that Hon.Lema is a troublemaker? You're thinking lest you'll miss the jam.
 
RPC -ARUSHA upo...? ww ndiye msemaji wa jeshi, unasemaje...?
 
Kwani Lema na hao wafuasi wake wana siraha mpaka udai wamevamia? Ujio wa kawaida kwenda kituo cha polisi ungekuwaje kwa mtazamo wako?
 
Lema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.

Unanuka maku acha uongo
 
Lema is a confirmed troublemaker, and the only way he can gain popularity is through frictions and senseless arguments with authorities. He's aware that his name hasn't been mentioned in newspapers for a while now, so he's trying to apply his traditional ill tactics to make some headlines. Yet this is a person ambitious to become the minister for home affairs if Chadema wins election.
Your ideas are full of non...se
 
Lema na wake zake ndiyo wamevamia kituo cha polisi. Ths z stpdt huko A town hakuna mishe za kufanya anytime kukimbizana tu ebu tucool tumake dvpt.
 
Back
Top Bottom