VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nimefarijika sana niliposikia kuwa Wakili Msomi Tundu Antipas Mughwai Lissu atajiunga na Wakili Msomi Method Kimomogoro kujenga hoja mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa kuonesha mapungufu ya Hukumu ya Jaji Rwakibarila wa Mahakama Kuu. Wakili Lissu ananipa matumaini mapya. Matumaini ya kutendeka haki. Hapa Kimomogoro,hapa Lissu...pataeleweka tu. Wakili Lissu anampigania Lema na haki ya wana-Arusha kuwa Mbunge wao waliomchagua. Viva Mnadhimu Lissu...