taifa hili litaendelea kuwa la wajinga mpaka lini?
Chande ameshtuka na kumuondoa yule jaji mwenye sifa za kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo, kukosa kufanya hivyo, tasnia ya sheria ilikuwa inaandika kitabu kipya.
Hizo sifa ni za karani mkuu siku hizi hakimu mahakam ya mwanzo lazima awe na degree waliojariwa mwaka huu wote wana degree na wamepita law school ukiwa na diploma ya sheria unaajiriwa kama karani
wamemchinjia mtoni mkuu,nafasi yake kachukua jaji mkuuJaji wa Arusha. Bado yupo?
Lissu anaenda mbele ya jopo la majaji ambalo hana imani nalo!
so anataka wakihukumu kinyume na matarajio yake apate kigezo cha lawama?
Mbona ambao aliwataja wameondolewa na wambaki wale wenye sifa. Kama wewe ni mfatiliaji mzuri, utakuwa unafahamu kuwa Jaji Mbarouk Salim Mbarouk ni mmojawapo aliyetajwa na Lissu ambaye hakuwa hata na degree moja ameondolewa kusikiliza rufaa ya Lema kama ilivyopangwa awali. Badalayake ameingia Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman ambaye ataungana Majaji wa Mahakama ya rufaa, Natalia Kimaro na Salum Massati ambao wote ni wa ukweli. Lissu hakusema majaji wote ni feki, ukisoma taarifa yake aliyoipeleka bungeni aliwataja wote kwa majina na mapungufu yao. Nashauri wakati mwingine tuache ushabiki wa kitoto.
mkuu ruttashobolwa hii hukumu ni lini?
Hiyo ndio Taaluma yake, Siasa ni mpito kwake. Kama unafuatilia sheria, Hukumu ile imekosa nguvu kisheriaLissu anaenda mbele ya jopo la majaji ambalo hana imani nalo!
so anataka wakihukumu kinyume na matarajio yake apate kigezo cha lawama?
jamani nijuzeni hiyo rufaa itasikilizwa na kutolewa hukumu lini ili nije A-town kuiona na kiusikia live! maana mie nakaa Nanjilinji.
Dah! Jeshi kamili
Muu pia ilitakiwa awe na mwanasheria Ridhiwani Kikwete kwani kijana kasoma sheria na anaijua vizuri kabisa na uwepo wa kamanda Ridhiwani utasaidia na kurahisha ushindi wa Lema.