Lema matatani tena, polisi wavamia studio

Lema matatani tena, polisi wavamia studio

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
[h=1][/h]


gl.jpg
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.
 
Jifunze kurelate na kucoordinate mambo mkuu! Hakuna connection kati ya title na maelezo yake!
 
[h=1][/h]


gl.jpg
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.


Yale yaleeeeeee!!!!

Wabunge wa Tanzania 90% hawajuwi kazi zao! Sijuwi takataka zilizo kwenye ubongo wao zitatokaje, duh
 
Mh. Lema ni janga la taifa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
safi sana mh lema,
kama kufikisha ujumbe mahsusi kunahitaji njia mbadala kama sanaa ya kuimba, wewe wala usijali, ingia studio na tengeneza rekodi zako.

Ujumbe utafika tu, kwa namna yeyote ile
 
Mleta mada ameleta habari km ilivyotolewa na mtandao wa gazeti la mwananchi,katika mtandao huo habari ipo km summary haijakamilika kwa hiyo tusimlaumu sana
 
[h=1][/h]


gl.jpg
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.

Huo utata upo wapi sasa hapo...?
 
habari na kontenti vitu viwili tofauti.

Nimeisikia hii kwenye uchambuzi wa magazeti RFA leo asubuhi japo nao wanasoma kwa ufupi pia. Wanasema akiwa kwenye kurekodi nyimbo zake hizo, makachero wa polisi walivamia studio hiyo ya hapo Arusha na kubeba vifaa vyote vilivyokuwa vinatumika kwa shughuli hiyo. Ngoja tusubiri ili tuipate habari kwa ukamilifu wake.
 
Fafanua vizuri tuelewe
Inaonyesha amekurupuka au ndoto za usiku kwa kichwa cha habari na kilichomo ndani havina munganiko tena hakina maana kwe2.Au ni pombe za pale Empire club ndo zinaanza kufanya kazi .JIPANGE KIJANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom