Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Police, TISS na CCM wanadhani watabaki kileleni daima? Wanaipeleka nchi pabaya
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)![]()
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.
Shule za kata na Mh Kawambwa ni wa kulaumiwa kwa watu kama hawa. Kwanini usichore Zombie kwenye mtihani ? Hueleweki