Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Huo utata upo wapi sasa hapo...?
Mbona hajaonyesha uhusika wa polisi kwenda studio??? Halafu hayo matata anayoyasema ni yepi sasa??? Kwa kutoa single tu?
Huo utata upo wapi sasa hapo...?
Nimeisikia hii kwenye uchambuzi wa magazeti RFA leo asubuhi japo nao wanasoma kwa ufupi pia. Wanasema akiwa kwenye kurekodi nyimbo zake hizo, makachero wa polisi walivamia studio hiyo ya hapo Arusha na kubeba vifaa vyote vilivyokuwa vinatumika kwa shughuli hiyo. Ngoja tusubiri ili tuipate habari kwa ukamilifu wake.
Lema ndiye kiboko ya magamba. Kila anachokifanya maccm yanamfuatilia.
Mh. Lema ni janga la taifa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
*2Mh. Lema ni janga la taifa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kashindwa Mbowe na Dr Slaa ataweza Lema...
Sisi wapiga kura wa arusha tumemtuma lema afanye haya anayofanya pamoja na kuchana mistari.Yale yaleeeeeee!!!!
Wabunge wa Tanzania 90% hawajuwi kazi zao! Sijuwi takataka zilizo kwenye ubongo wao zitatokaje, duh
[h=1][/h]
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)![]()
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.
Jifunze kurelate na kucoordinate mambo mkuu! Hakuna connection kati ya title na maelezo yake!
Kumekuwa na maraisi waimbaji kama Museveni alitoa single ikapaa sana Reagan cheza picha mwacheni Lema aimbe atakavyo atajuana na waliomchagua ndio CCM imefika mwisho kwa hiyo ni kunyanyasa raia kwa kwenda mbelesidhani kama kazi stahiki ya mbunge ni kuimba. kwangu mm sioni sababu ya lema kuimba si kazi yake afanye mambo ya ukweli amekuwa sana ujue na wanaomtegemea ni wengi kama ni kweli basi LEMA ni janga la CHADEMA tena zigo lisilobebeka kwa sababu hajui majukumu yake bonge la bichwa kubwa kumbe akili kiduchu. UCHURO HUU WA WANASIASA SIJUI TUTTAUONDOA VIPI
safi sana mh lema,
kama kufikisha ujumbe mahsusi kunahitaji njia mbadala kama sanaa ya kuimba, wewe wala usijali, ingia studio na tengeneza rekodi zako.
Ujumbe utafika tu, kwa namna yeyote ile
habari na kontenti vitu viwili tofauti.
sidhani kama kazi stahiki ya mbunge ni kuimba. kwangu mm sioni sababu ya lema kuimba si kazi yake afanye mambo ya ukweli amekuwa sana ujue na wanaomtegemea ni wengi kama ni kweli basi LEMA ni janga la CHADEMA tena zigo lisilobebeka kwa sababu hajui majukumu yake bonge la bichwa kubwa kumbe akili kiduchu. UCHURO HUU WA WANASIASA SIJUI TUTTAUONDOA VIPI