Lema matatani tena, polisi wavamia studio

Lema matatani tena, polisi wavamia studio

Kashindwa Mbowe na Dr Slaa ataweza Lema...

...kaka slaa na mbowe wameshimdwa nini, mbona naona kila kukicha presha yenu iko juu ? mnahaha kuwanunua vijana wa cdm mnasingizia mnawapa ushauri wa kufanikiwa kisiasa...! na nakumbuka mwenyekiti wenu alikiri cdm ni tishio halisi kwenye kikao cha juzi,kwani umesahau kaka...
 
Bila shaka watasema John Mkoloni na Kamanda Lema walikuwa wanarekodi wimbo wa uchochezi.
 
[h=1][/h]


gl.jpg
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.

lema matatani tena polisi wavamia studio? Japo mie sio gamba, umechapia mzeiya
 
gl.jpg
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema (Chadema)
Lema akishirikiana na wasanii watatu wa muziki wa kizazi kipya, John Mkoloni na wawili mapacha kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya la jijini Tanga, ametunga nyimbo nne ambazo ni Jimboni, Mh Rais, Usiogope na Tunahusika.


Shule za kata na Mh Kawambwa ni wa kulaumiwa kwa watu kama hawa. Kwanini usichore Zombie kwenye mtihani ? Hueleweki
 
...kaka slaa na mbowe wameshimdwa nini, mbona naona kila kukicha presha yenu iko juu ? mnahaha kuwanunua vijana wa cdm mnasingizia mnawapa ushauri wa kufanikiwa kisiasa...! na nakumbuka mwenyekiti wenu alikiri cdm ni tishio halisi kwenye kikao cha juzi,kwani umesahau kaka...

Wote walingombea urais wakaangukia pua.
 
Udumu Mh.Lema wachachafye hao magamba hadi wachubuke tuko nyuma yako kamanda.
 
matatani kivp? mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani?
 
Huyu anayedai wabunge hawajuikai yao kwa kuwa wanaimba ni kwamba ana uelewa mdogo Sana kuhusiana na uongozi. Kiongozi mzuri hutumia mbinu ho yote isiyo hatarishi kufikisha ujumbe ili ueleweke. Wabunge wana wajibu wa kuwaelewesha. Watu wao mambo kadha wa kadha. Hizi Elimu za fom foo ya siku hizi. Kazi kweli kweli.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mwambie komba na Vicky kamata waache kuimba kwanza!
Eti kisa ni wabunge..unaonekana una tope kichwani!
sidhani kama kazi stahiki ya mbunge ni kuimba. kwangu mm sioni sababu ya lema kuimba si kazi yake afanye mambo ya ukweli amekuwa sana ujue na wanaomtegemea ni wengi kama ni kweli basi LEMA ni janga la CHADEMA tena zigo lisilobebeka kwa sababu hajui majukumu yake bonge la bichwa kubwa kumbe akili kiduchu. UCHURO HUU WA WANASIASA SIJUI TUTTAUONDOA VIPI
 
Mh. Lema ni janga la taifa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama Mh. Lema in janga la taifa, una hakika wewe sio Sumu kwa Taifa kama jina lako lisemavyo?

Nilimchagua Godbless Lema kama Mbunge wangu 2010 na sikubaliani na mafisadi wanaondelea kumsakama na kumkashifu.
 
sidhani kama kazi stahiki ya mbunge ni kuimba. kwangu mm sioni sababu ya lema kuimba si kazi yake afanye mambo ya ukweli amekuwa sana ujue na wanaomtegemea ni wengi kama ni kweli basi LEMA ni janga la CHADEMA tena zigo lisilobebeka kwa sababu hajui majukumu yake bonge la bichwa kubwa kumbe akili kiduchu. UCHURO HUU WA WANASIASA SIJUI TUTTAUONDOA VIPI

Kwahiyo waimbege hao wabunge wenu nyie Magamba, kama vile Komba ila wakiimba wa CDM unaona wivu. Ujumbe hufikishwa kwa njia nyingi mama weeee. au unadhani anabana pua kama vibaraka wenu wa T.H.T?
#JIPANGE #
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom