Mh mbunge wa arusha mjini kamanda Lema, mbunge wa singida mashariki Tundu Lisu na aliyekuwa mgombea wa arumeru mashariki Leo wamehutubia mamia ya wanarusha maeneo ya kimandolu na wakafungua matawi Malta ya chadema. Mkutano ulikuwa mkubwa na ki ukweli Arusha imeamka. Lisu Ameichambua katiba, Lema kazungumzia mipango ya maendeleo jimboni hata bila ya halmashauri, Nassari akazungumzia mustakabali wa nchi under ccm na nini kifanyike.
CDM wamekamilika , na wanashambulia kula kona. Wakati hawa wanashambulia Arusha Akina Mdee walikuwa tegeta, slaa skilled manyara.
CDM wamekamilika , na wanashambulia kula kona. Wakati hawa wanashambulia Arusha Akina Mdee walikuwa tegeta, slaa skilled manyara.