Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
magwanda mmezoea matusi. Shika adabu yako.
huu uzee wako ungeonyesha busara katika kujibu hoja si huo uzezeta wako vinginevyo tegemea majibu ya uzezeta zezeta. .
magwanda mmezoea matusi. Shika adabu yako.
Chama cha kanisa!
watampata nani kijijini!.
Vijijini wapo wazee wenye uwezo wa kufikiria, wanajua wametoka wapi na wanakwenda wapi. Hawawezi kuhamasishwa vurugu.
Jamani JF naomba tujadili hoja inayoletwa jamvini kuliko post moja kujibiwa na watu wengi kiasi kwamba tunapoteza radha ya hoja husika kujadiliwa
Binafsi nawapa BRAVO CDM Ila sasa wakumbuke vijijini mjini wengi wameokoka
eheee...! sukari na kufanya biashara ya vitambulisho vya kupigia kura!Kama kweli wanakufa njaa kwanini serikali isipeleke mahindi ya msaada kama walivyo fanya Igunga? Fikiria kabla ya kujibu hoja
Nyie cdm pigeni debe tu ila siku ya kura ni kuwaliza tu
Mh mbunge wa arusha mjini kamanda Lema, mbunge wa singida mashariki Tundu Lisu na aliyekuwa mgombea wa arumeru mashariki Leo wamehutubia mamia ya wanarusha maeneo ya kimandolu na wakafungua matawi Malta ya chadema. Mkutano ulikuwa mkubwa na ki ukweli Arusha imeamka. Lisu Ameichambua katiba, Lema kazungumzia mipango ya maendeleo jimboni hata bila ya halmashauri, Nassari akazungumzia mustakabali wa nchi under ccm na nini kifanyike.
CDM wamekamilika , na wanashambulia kula kona. Wakati hawa wanashambulia Arusha Akina Mdee walikuwa tegeta, slaa skilled manyara.
Je Lema ameshajenga barabara ngapi za Lami katika manispaa ya Arusha? Kwani mpaka sasa manispaa ya Arusha haina barabara hata moja ya Lami zilizopo zote ni za Serikali kuu chini ya Tanroad.
Masaburi at work !!!! Muulize Meya na halmashauri ya jiji anayoiongoza. Lema ajenge kwa mshahara wake? Serikali ndiyo inayokusanya Kodi za wananchi na ndiyo inatakiwa kuwaletea wananchi maendeleo full stop.
Ukombozi apeleke kwao kwanza.mkuu soby, pamoja na yote twambi wanasinginda wangapi wamekufa kwa njaa..kikao gani cha halmashauri yake alikikosa kwasababu lisu alikuwa mwanza,arusha...na akiwa arusha anamtumikia nani? mwacheni lisu afanyekazi watanzania wanahitaji ukombozi...
Tundu Lisu ni mbunge wa chama cha upinzani, sio chama tawala acheni nchi itawaliwe na CDM useme Lisu kashindw\a mkulisha watu wake!!!!!!!!!!!Jana Lisu alikuwa Mwanza, leo yupo Arusha wakati jimboni kwake wanakufa njaa.
Sifa kijinga.
Kwahiyo hana faida kwa wana singida?Tundu Lisu ni mbunge wa chama cha upinzani, sio chama tawala acheni nchi itawaliwe na CDM useme Lisu kashindw\a mkulisha watu wake!!!!!!!!!!!
CDM Singida wanajua kazi za mbunge, wakifa njaa wataadabisha serikali inayokusanya kodi yao. Piga kazi Lissu nimeambiwa unasubiliwa Moro na baadae ukatetee waliobomolewa nyumba zao Dodoma.Wapo wabunge CDM wanaopenda sifa za kijinga wamegeuka wasemaje wa serikali ya Magamba lakini sio Lissu.
anamaanisha yule mbunge mwislamu wa CDM anaejulikana kwa jina la ZITTOwabunge gani hao mkuu? Waweke wazi tuwarekebishe siunajua samaki akioza mmoja watz wanaweza kuhukumu kwa kosa la mtu mmoja.
Hii mikutano isio na maana itakwisha lini? Mlikuwa mkilalamika kuhusu safari za kikwete sasa naona hawa kina lissu wamemshinda hata Rais kwa safari. Kila kukicha wao ni safari na mikutano lakini mpaka sasa hakuna wanalofanya kwenye majimbo yao. Hizi posho zitawaua hawa wabunge njaa.
Chama cha kanisa![/QUOT
ni wimbo uliopitwa nawakati