Lema kweli hana nidhamu

Lema kweli hana nidhamu

Status
Not open for further replies.

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,798
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
 
craap!!!! wewe ni mpuuzi unae kesha humu na thread za kipuuzi, lema yupo bungen ana wakilisha zaidi ya wananch million 3, wewe hata kuwakilisha familia yako ume shindwa.
 
yaani wewe ni punguwani kweli umemwona lema hana nidhamu ila shamsi vuai anayeruka page zenye ukweli ndio punguani mdogo sometime unajiuliza kwanini inchi ni maskini sababu inaendeshwa na washabiki wanaojaa upepo wa chuki juu ya watu na sio hoja mbona hutaki kugusia hoja ya lema .moyes mkubwa wewe
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

Laumu ulipojikwaa na sio ulipoangukia
Ingawa ni kweli kuwa kichaa akichukua nguo zako chutama
Lakini katika mambo ya msingi hakuna kuchutama ni ngumi za uso tu

Bazazi
 
yani na ujinga mlio nao wafuasi wa ccm imebaki siku 1 mbali na bk7 mwende mkawatawaze makalio yao
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

naona mkuu unawashwa sana bila kumtaja lema,vp nyie nidham yenu ni nzuri ya kuua tembo,nakung'oa watu kucha.
 
Mwambie mama yako afunguke ili akutajie baba yako maana ulizaliwa gesti.
 
Hivi nidhamu ni nini. Nasikia kuna nyingine inaitwa nidhamu ya woga! Ni kweli basi kuwa Lema hana nidhamu ya woga kama Vuai anayeogopa kuwa akisoma maoni ya wapinzani CCM yaweza kumsulubu!
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Ilikuwa wapi Lema kafanya hicho kituko?
 
Habari kuu leo ni KAFULILA kawatia adabu....

Lema alichokuwa akipigania ni ukweli uliotaka kuachwa na NAHODHA...Kama ni iliunalalamikia basi wewe ni mpuuzi sanaaa.
 
Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.

Kwenye haki watendee watu haki.Hakukuwa na jinsi nyingine zaidi ya kuomba mwongozo ili yasemwe yale yaliyoandikwa na si vinginevyo.Hata wachache wanahaki ya kusikilizwa.Na pia wananchi tunahaki ya kusikiliza maoni ya wachache ili tuyapime kwa ujazo sawia.

Hivi inakuwaje mkubali kutoa Tunu muhimu za Taifa ili kukidhi matakwa ya wengi (wajumbe wa CCM)Kigezo gani kilitolewa ili kuondoa UAJIBIKAJi,UADILIFU na UWAZI kwenye Rasimu?Wajumbe walikuwa wanamfurahisha nani?Ni kichaa peke yake atakubaliana na hayo.
 
Habari kuu leo ni KAFULILA kawatia adabu....

Lema alichokuwa akipigania ni ukweli uliotaka kuachwa na NAHODHA...Kama ni iliunalalamikia basi wewe ni mpuuzi sanaaa.

Jamani kuna wengine tumekosa CLIP ya Kafulila kama itawezekana tuwekeeni wandugu.
 
craap!!!! wewe ni mpuuzi unae kesha humu na thread za kipuuzi, lema yupo bungen ana wakilisha zaidi ya wananch million 3, wewe hata kuwakilisha familia yako ume shindwa.

Mumeo nini? Mbona unawaka namna hii!
 
LEMA kafanya nini tena? Kuhusu kutokuwa na Nidhamu hilo hata mtoto mdogo analifahamu. Kaleta uwendawazimu bungeni nini?
 
LEMA kafanya nini tena? Kuhusu kutokuwa na Nidhamu hilo hata mtoto mdogo analifahamu. Kaleta uwendawazimu bungeni nini?

Yaani mkuu, hata kama anastahili kupinga jambo bungeni, sio kwa staile ile! Ukiangalia mle ndani kuna watu makamo ya babu yake lakini heshima katika bunge ndio inayoweza kumtenganisha mhe na chokoraa! Nadhani anadhani yuko kijiweni mle.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom