Lema: Kinana jiunge na FUTUHI

Lema: Kinana jiunge na FUTUHI

DSC04159.JPG
 
Hongera Lema kwa Ishu ya Ambulance maan wanafki wanabwabwaj kwamba Uliuza!!
 
Nani analima kwenye jiji!?!! Swali la kitoto kabisa! Ukiwa na plot kule Kigamboni huwezi kulima? Pale jijini Mbeya watu wana mashamba pembezoni mbona wanalima tena.kwa matrekta?

Alafu anaona ajabu trekta kuwepo jijini akifikili kaziyake nikulima tu kumbe Trecta zina kazi nyingi tu hata kuzoa takataka
 
ccm mbwa sana,na safari hii mtaisoma mwezi wa kumi tena arusha msahau kabisa mana tutawanyea mbaya
 
@Crashwise Sasa acholialia nini kama anajua Kinana ni futuhi?
 
hatutachoka kuwaelimisha nyie mazezeta Wa CCM..unachotakiwa kufanya Ni kuangalia picha zote ipi orijino ipi fake... au IPI imepigwa wapi na IPI imepigwa upande gani?

kifupi mkutano Wa kinana ambao Ni Wa mkoa mzima Wa Arusha ni Aibu....

Hutakiwi kuchoka kutuelimisha ni wajibu wako kama mfurukutwa, kwa maana hiyo Uwanja wa Abeid Kinana amefanya mikutano miwili? Sie washamba tumezoea kuona rangi za njano na kijani kwenye mikutano ya CCM na hasa ziara ya Kinana, kwenye hiyo hiyo picha yake hatuzioni au walikuwa wanaogopa wakizivaa watamwagiwa tindikali?
 
- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
wakati ukihangaika na MH LEMA , wakubwa wako wanadalalia nchi .
 
Back
Top Bottom