Changanya na zako za fisi utapata tembo
Kwenye avatar yako kuna rangi za ACT. Badilisha haraka hamkawii kuitana wasaliti. Watakufukuza badili rangi haraka.
Changanya na zako za fisi utapata tembo
**Ambulance ziko mbili UK zitapakiwa alhamisi kuja Tanzania
**Trekta lipo
- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
Kweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima
utaabika sana mwaka huu- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
Hivi huyu Lema ana akili timamu kweli?
- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
Changanya na zako za fisi utapata tembo
Trekta lipo hapo Lemara Aaatish ni mtoto Wa Arusha Art Amekanusha ajauziwa gari lolote na Lema.. Nakumbuka Kwenye kampeni za Serekali za Mitaa Ndugu Mussa Allan au Msalani ulichapisha mabandiko yakumkashfu Lema na mpaka leo hujakanusha, tueleze bei gani ulilipwa na invoice ipi?- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda ka zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
Ndio Maana yake Mkuukumbe ndo maana kinana anamsakama Nyalandu kwasababu kamkataza kutembeza wanyama kwenye mikutano ..hongera nyalandu uwenda usingemzuia angeleta tembo kwenye mikutano na ndo maana anakuita mzururaji .....
huijui arusha wewe gamba bora unyamazeKweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima
Wewe una akili sawasawa kweliHivi huyu Lema ana akili timamu kweli?
Shoga utamjua tu- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!
Kweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima