Lema: Kinana jiunge na FUTUHI

Lema: Kinana jiunge na FUTUHI

Kamakweli kinana anaipenda nchi akazibue mifereji Dar imeziba anakimbilia kufagia kulima nani hajuikama anafanya mazoezi ya viungo alimetoka asubuhi mpaka jioni kamakulekwetu chilulumo kasambala huyokweli ajiunge futuhi
 
Kweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima

Nani analima kwenye jiji!?!! Swali la kitoto kabisa! Ukiwa na plot kule Kigamboni huwezi kulima? Pale jijini Mbeya watu wana mashamba pembezoni mbona wanalima tena.kwa matrekta?
 
Inawezekana akawa hana, ila yule aliyealika fisi kwenye mkutano wake ndiye anaakili sana?, Katibu Mkuu wa Chama Tawala anaushirika gani na FISI!!??

hahahahahaaa nimecheka hadi mbavu zimeuma. Pia nalo neno kualika FISI kwenye mkutano huyo hana akili kabsaaa
 
Kinana ameuza mpka maeneo ya miskiti njiro akishirikiana na muhamed akida.
 
Nani analima kwenye jiji!?!! Swali la kitoto kabisa! Ukiwa na plot kule Kigamboni huwezi kulima? Pale jijini Mbeya watu wana mashamba pembezoni mbona wanalima tena.kwa matrekta?

mazezeta uelewa wao Mdogo mno...
 
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema Amemwambia kinana anastahili kujiunga na futuhi
**Amekuja arusha kupokea viongozi wa CCM akidai wanatoka CHADEMA

**Palapala ni mwenyekiti wa kijiji cha Waso kwa tiketi ya ccm leo anadai amepokea kiongozi wa CHADEMA

**Ole Selanga alifukuzwa chadema toka Nov 2013 leo anadai kapokea mwenyekiti wa cdm wilaya
Alipita soko la kilombero kakuta mama anafagia kasimamisha msafara naye kaanza kufagia
Amemtaka aache kupiga kelele na kuwatukana mawaziri wake ovyo kama anaona hawawezi kazi aache sanaa amfuate mwenyekiti wake amueleze wawatoe.

**Soko la Kilombero hakuna mwananchi atakayehamishwa utafanyika ujenzi wa ghorofa kwenye kile kiwanja kulichoibwa kisha watahamia huko ndipo ujenzi uanze kilombero sokoni

**Hospitali ya mama na mtoto tayari ameshasaini mkataba ujenzi wa hospitali na chuo cha uuguzi uataanza kabla ya kampeni za uchaguzi kuanza

**Ambulance ziko mbili UK zitapakiwa alhamisi kuja Tanzania

**Trekta lipo

**Watoto wa shule aliowalipia mwaka wa kwanza baada ya hapo alizungumza na Mkurugenzi akatoa maelekezo kwenye shule zote watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wasio na uwezo wasitozwe Ada na limetekelezwa kwani hakuna mzazi aliyelalamika

**Kinana aliwahi kuwa mbunge wa arusha hakuna wakati maeneo ya wazi yakiuzwa kama kipindi hicho na ni vema akaeleza ilipo mashine ya kufua nguo ya hospital ya mt Meru....

Najua kuwa source yako ni Account ya G Lema ya facebook. Lakini sasa natia shaka kama account hiyo anayepost ni Lema tunayemjua maana hawezi kufanya utoto huu; mfano jana aliweka picha hii ya mkutano wa Kinana Arusha
Arusha lema.jpg

Lakini taarifa tuliyoipata leo picha za mkutano wa Kinana ni hizi:-

Arusha.jpg

Arusha1.jpg

Na kama ni hivyo wanasiasa wote kumbe ni FUTUHI
 
Kweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima

Kwa akili yako ya matope unalojua ni kulima tu ndio matumizi ya trekta?ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya MULUBE
 
Najua kuwa source yako ni Account ya G Lema ya facebook. Lakini sasa natia shaka kama account hiyo anayepost ni Lema tunayemjua maana hawezi kufanya utoto huu; mfano jana aliweka picha hii ya mkutano wa Kinana Arusha
View attachment 236785

Lakini taarifa tuliyoipata leo picha za mkutano wa Kinana ni hizi:-

View attachment 236786

View attachment 236787

Na kama ni hivyo wanasiasa wote kumbe ni FUTUHI

hatutachoka kuwaelimisha nyie mazezeta Wa CCM..unachotakiwa kufanya Ni kuangalia picha zote ipi orijino ipi fake... au IPI imepigwa wapi na IPI imepigwa upande gani?

kifupi mkutano Wa kinana ambao Ni Wa mkoa mzima Wa Arusha ni Aibu....
 
- Trekta Bw. LEMA alimuuzia Mzee mmoja pale Daraja mbili anaitwa Kitasho! Anaposema lipo aelekeze liko wapi!
- Ambulance mbili ziko kwa Aaatish pale Arusha Art Lema alimuuzia kipindi kile aliposimamishwa ubunge! Labda kama zinakuja nyingine lakini zile za mwanzo alishaziuza!

Unajua sana mkuu,ebu tueleze wezi wa fedha za escrow wakiogawana fedha ktk benki ya kigeni wamechukuliwa hatua gani?wamiliki wa kampuni ya kagoda ni kina nani?
 
Nani analima kwenye jiji!?!! Swali la kitoto kabisa! Ukiwa na plot kule Kigamboni huwezi kulima? Pale jijini Mbeya watu wana mashamba pembezoni mbona wanalima tena.kwa matrekta?

hao ni we.hu wanaoulizia trekta mjini ni LA nini na hawajui jimbo linasehemu za kulima wasifananishe arusha na jimbo la kawe au ilala
 
Back
Top Bottom