Bwana Mudogo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 458
- 78
Weka hapa ushahidi siyo kuleta porojo za fisi mimi nakwambia liko Hapo Lemara
mkuu huyu sio wakumjibu kwanza hata hiyo Lemera yenyewe haijui
Weka hapa ushahidi siyo kuleta porojo za fisi mimi nakwambia liko Hapo Lemara
Lema kauza trekta daraja mbili, habari za lemara ni porojo tu. lema mwizi wa magari hatumtaki Arusha
mkuu huyu sio wakumjibu kwanza hata hiyo Lemera yenyewe haijui
Jamaa anao ushahidi kaka we tukia muda c mrefu mambo yatawekwa hadharani
La kijiji alilinunua mama yako...unakichaa kweli
mkuu povu la nini! Uliloliona wewe ni kobota bhana acha ush.a.mba
Huijui arusha... Mashamba yapo hata kisongo
We mtafuna mirungi kaa kimya,huna hoja
Hivi huyu Lema ana akili timamu kweli?
Lema ameathiriwa na Bhange.
Umeshikwa pabaya,jibu hoja usikimbilie kutukana
We mtafuna mirungi kaa kimya,huna hoja
Lema atulie dawa iishe
Lema ameathiriwa na Bhange.
pamoja na viroba
Kweli lema ni mwehu yaani trekta na jiji wapi na wapi, nani jijini analima
Changanya na zako za fisi utapata tembo