Conspirancy theory tu hizo.Kama ni Mandela atafia kizuizini, maana Mandela org alifia kizuizini alafu wasouth wakaletewa Mandela copy. Kwahiyo Mbowe hatorud tutaletewa copy ya Mbowe.
Ina maana Winnie alipotelewa na mumewe, alibadilishiwa bila kugundua.
Baada ya kutoka gerezani huyo anaeitwa Mandela feki aliishi zaidi ya miaka 20 family members hawakushtuka tu wakataka kipimo cha DNA.
Na iwe hivyo ni feki kweli, na Mbowe nae si atatengezwa Mbowe feki wanafamily na wana Chadema hawatagundua,hivyo lengo la kupaisha Chama litakuwa limetimia na hatimae Mwamba kuukwaa Urais?
Mnataka u Mandela lakini masahibu (madhila aliyo kumbana nayo)yake hamyataki.