Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Hii Sinema imetengenezwa na Lema tu ili apate Kiki na IGP amwogope lakini ukichuguza kwa Undani ni Uchonganishi tu ili kuwafanya washindwe kufanya kazi kwa pamoja. Lema ndiye alimpiga Risasi chacha wangwe kisha akatokomea akiwa na kileo na kumwacha Deus Mallya akiwahadaa watanzania kuwa ilikuwa Ajali , lakini Hao hao Polisi walimlinda hadi leo Sasa kaanza kuwachokonoa lazima watamtengenezea Sinema Kali Sisi yetu macho na masikio tu.
inabidi watanzania Tuungane kuiondoa CCM Madarakani maana imeshindwa kutulinda na hata kuwakamata wauaji kama ulivyoainisha.Naomba niongezee na Swala la Kuteswa kwa Ulimboka,Absalom Kibanda,Kuuawa kwa Dr.Mvungi,Kuuawa kwa Mapadre Zanzibar,Kuchomwa kwa Makanisa Mbagala,Kupigwa risasi kwa Shekh Ponda n.k.Tuiondoe CCM Madarakani ili tupate Chama kitakachowahakikishia watanzania usalama wao.
 
unajua Lema alijiunga mwaka gani Chadema na chacha aliuiwa na CCM mwaka gani?

Haijalishi Lema alijiunga lini Chadema lakini Ubunge ni zawadi aliyopewa na Mbowe baada ya kutekeleza mauaji ya chacha wangwe kwa Ufasaha .
 
inabidi watanzania Tuungane kuiondoa CCM Madarakani maana imeshindwa kutulinda na hata kuwakamata wauaji kama ulivyoainisha.Naomba niongezee na Swala la Kuteswa kwa Ulimboka,Absalom Kibanda,Kuuawa kwa Dr.Mvungi,Kuuawa kwa Mapadre Zanzibar,Kuchomwa kwa Makanisa Mbagala,Kupigwa risasi kwa Shekh Ponda n.k.Tuiondoe CCM Madarakani ili tupate Chama kitakachowahakikishia watanzania usalama wao.
R.I.P chacha wangwe.
 
funza kumbe wako kwenye ubongo wako sio miguu pole saan RIP ur brain

Kama walivyo kwenye mwili wako Wote wenye HIV ambao umekariri kuwa Lema ni Mungu na hakumuua chacha wangwe . R.I.P kichwa chako choote.
 
R.I.P chacha wangwe.

Watanzania Tusiishie kulalamika tu.Tuiondoe CCM madarakani ili tuchunguze vifo vyote vyenye utata ikiwa ni Pamoja na Mgimwa,Kolimba,Kombe,Dr.Mvungi etc.Kwa utawala wa CCM usitegemee kupata ukweli.
 
ILAN RAMON hivi ni kwa nini ulimuua chacha wangwe ? Ebu tuambie alikukosea nini? au ulipewa tshs ngapi kutekeleza mauaji ? Kwa nini umeamua kuwa na Roho mbaya hivi?
 
Watanzania Tusiishie kulalamika tu.Tuiondoe CCM madarakani ili tuchunguze vifo vyote vyenye utata ikiwa ni Pamoja na Mgimwa,Kolimba,Kombe,Dr.Mvungi etc.Kwa utawala wa CCM usitegemee kupata ukweli.

Rushwa ni Adui wa Haki.
 
Wakuu salamaa?

Jana nimemsikikiza mh. Lema, akieleza juu ya sintofahamu ya kuvamiwa vituo vya police, kupigwa na kuporwa bunduki n.k

Kwa mshangao mkubwa akasema, Kamanda Changoja haamini kama rais kaishafanya uteuzi wa IGP na sasa anafanya sabotage to a new IGP ili aonekane anamapungufu kwa kuratibu matukio mbalimbali n.k

Ni kauli nzito sana, na matukio sasa ya aina hii ni mengi sana, tujadili pamoja kwa undani kama kuna kiukweli vile.

Mungu nibariki nifike December tu.

Siwezi kumjadili mtu kama Lema, hana status ya kujadiliwa.
 
Jina funza,

Akili za funza,

Wewe funza niwakuhurumiwa tu.

M- Muuaji A-anatetea G-gasia E- endelea S- simamia I- ibirisi hiki ndicho kirefu na maana ya MAGESI ni jina maalumu la watu wauaji yaani wenye roho mbaya , R.I.P chacha wangwe.
 
Last edited by a moderator:
Rushwa ni Adui wa Haki.

CCM ndio inatakiwa ihakikishe watanzania tunapata haki.Mpaka sasa hakuna chochote kinachoendelea zaidi ya kusema R.I.P. Hii ni dalili kwamba hiki chama cha CCM sio sahihi kwa Tanzania ya sasa.CCM iliondoka na Nyerere,ni wakati muafaka wa kubadili chama ili tuhakikishiwe usalama wetu.Kinachonishangaza zaidi ni kwamba watu huku mitandaoni wanaonyesha kuelewa vyanzo na wahusika wa Mauaji mbalimbali yanayotokea nchini lakini Serikali ya CCM haijui lolote kuhusu vifo hivi.Hii ni dalili tosha kwamba CCM haina uwezo tena wa kuongoza Serikali.
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza


Kumbe umeshajua kuwa anauzoefu na jeshi la polisi, sasa unapinga nini taarifa yake na kujifanya wewe ndio unajua sana.
 
LAKINI KWA KUONGEZEA ...KUNA JAMBO MOJA ...KWA MIAKA KARIBU 30 KABLA YA MWAKA 1985 ...AMBAKO WAKUU WALIKUWA ENZI YA KINA SOLOMON LIANI ,LEMOMO ,MGAYA ETC
BAADA YA HAPO NI ZAIDI YA MIAKA 30 IGP HAJAWAHI KUTOKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI ......IGP's WOTE WAMEKUWA WAKITOKEA MIKOANI NA KURUSHWA VYEO HASA CHEO CHA KAMISHNA NA KUWA IGP....
HII INA MAANA HAWA MAKAMISHNA WA POLISI WASINUNE SANA WAKUBALIANE TU NA HALI HALISI ...KAMA IGP ANGETOKA MIONGONI MWA MAKAMISHNA BASI ANGEKUWA AMEVUNJA REKODI ...
Lakini mbona hata mangu amekaa sana makao makuu baada ya kutoka mwanza alipokua RCO(Sijui nimepatia cheo),then akaenda USA kusoma kabla hajarudi makao makuu,kisha tena ndo akawa RPC wa pwani,kabla hajaenda kuwa RPC wa mwanza baada ya kuuawa rpc pale.
 
Lema Hata ukeshe kwa Sangoma siku 365 mzimu wa chacha wangwe hautabanduka popote ulipo utaendelea kukulilia mpaka Siku za mwisho. R.I.P chacha wangwe.
 
Wakuu salamaa?

Jana nimemsikikiza mh. Lema, akieleza juu ya sintofahamu ya kuvamiwa vituo vya police, kupigwa na kuporwa bunduki n.k

Kwa mshangao mkubwa akasema, Kamanda Changoja haamini kama rais kaishafanya uteuzi wa IGP na sasa anafanya sabotage to a new IGP ili aonekane anamapungufu kwa kuratibu matukio mbalimbali n.k

Ni kauli nzito sana, na matukio sasa ya aina hii ni mengi sana, tujadili pamoja kwa undani kama kuna kiukweli vile.

Mungu nibariki nifike December tu.
Utafika tu mungu atakusaidia,jitahidi kula mbogamboga na matunda kwa wingi,mazoezi kidogo na kunywa dawa kwa wakati.
 
CCM ndio inatakiwa ihakikishe watanzania tunapata haki.Mpaka sasa hakuna chochote kinachoendelea zaidi ya kusema R.I.P. Hii ni dalili kwamba hiki chama cha CCM sio sahihi kwa Tanzania ya sasa.CCM iliondoka na Nyerere,ni wakati muafaka wa kubadili chama ili tuhakikishiwe usalama wetu.Kinachonishangaza zaidi ni kwamba watu huku mitandaoni wanaonyesha kuelewa vyanzo na wahusika wa Mauaji mbalimbali yanayotokea nchini lakini Serikali ya CCM haijui lolote kuhusu vifo hivi.Hii ni dalili tosha kwamba CCM haina uwezo tena wa kuongoza Serikali.

Wazungu wanajitahidi sana kule Kenya, Zambia na kwingineko kuvitoa vyama vikongwe na kuja na vyama vingine lakini Tanzania na Pengine Zimbabwe imekuwa Mbinde na siku chama kingine kikiingia ikulu kutatokea maajabu ambayo yataishangaza Dunia.
 
CCM ndio inatakiwa ihakikishe watanzania tunapata haki.Mpaka sasa hakuna chochote kinachoendelea zaidi ya kusema R.I.P. Hii ni dalili kwamba hiki chama cha CCM sio sahihi kwa Tanzania ya sasa.CCM iliondoka na Nyerere,ni wakati muafaka wa kubadili chama ili tuhakikishiwe usalama wetu.Kinachonishangaza zaidi ni kwamba watu huku mitandaoni wanaonyesha kuelewa vyanzo na wahusika wa Mauaji mbalimbali yanayotokea nchini lakini Serikali ya CCM haijui lolote kuhusu vifo hivi.Hii ni dalili tosha kwamba CCM haina uwezo tena wa kuongoza Serikali.
Kama ccm ni mahakama sawa.
serikali kuongozwa na ccm haina maana kuwa wafanyakazi wote serikalini ni ccm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom