Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Nimeishi na wapare weeeengi sana sijaona hata mmoja mkatili, sijui huyu katoa wapi tabia hii.

amefanya mauaji mengi kwa ahadi ya u-IGP,kikwete haaminiki,kamtosa!sasa hivi anaua askari wenzake kwa hasira ya kutopewa cheo cha juu kabisa.
 
Mkuu ujumbe umeuelewa? Kama umeuelewa mambo mengine achana nayo. Hizi ni social media, asipotumia lugha rasmi (ilimradi ujumbe umeuelewa) athari sio nzito kama kwenye machapisho yanayohitaji "formal writing".


Formal writing ni muhimu sana, vinginevyo MTU anaweza itupa kando hoja husika
 
lema alisema raisi jk ni kinara wa udini huyu lema huyu
 
huyu chagonja ni wale mapolisi wa zamani aina ya mahita wakati saiv jeshi linatakiwa liongozwe kwa weledi na sio manguvu hastahili kabisa kuwa hapo alipo
 
lema alisema raisi jk ni kinara wa udini huyu lema huyu
Hao jamaa wanapataga the kick out of kumsema vibaya rais au viongozi mbalimbali,as long as wanajua wamo bungeni na wanakinga ya kutoshitakiwa,watasema lolote lile na mbumbumbu watawasifia sana kama wamesema kitu very intelligent,wakati kiuhalisia ni mropoko.
 
Tanzania nchi ya ajabu sana. Tuhuma zile ni nzito sana, lakini kwa vile zimetoka kwa mbunge wa upinzani hadithi ndio imeishia pale hakuna ufuatiliaji wala nini.
Wanasubiri JF nanyi mchoke kubwabwaja halafu business as usual
 
Kuna tatizo sana la kiuandishi kwa hawa vijana wa sasa, amini nafikiri alikua na maana ya haamini. Mtu anataka kuandika ''haoni'' yeye ataandika ''aoni''. Kuna omission za baadhi ya herufi hasa ''h'' bila sababu na wakati mwingine inaharibu kabisa maana ya neno husika. Kuna tatizo somewhere huko mashuleni kwa sababu ni wengi sana walio na uandikaji huo hata katika sms kwenye simu.
Nadhani Walimu wa sasa wanafundisha kiswahili cha dijitali maana kumuelewa kijana wa kiume na wakike ni unahitaji mkalimani
 
Changoja alidanganywa na waganga wake kuwa yeye ndo IGP..sasa mambo yakawa kinyume
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza
Ushaidi wa ujambazi upo wapi? Siasa za maji taka
 
Hao jamaa wanapataga the kick out of kumsema vibaya rais au viongozi mbalimbali,as long as wanajua wamo bungeni na wanakinga ya kutoshitakiwa,watasema lolote lile na mbumbumbu watawasifia sana kama wamesema kitu very intelligent,wakati kiuhalisia ni mropoko.
Mbumbumbu anawakilisha jimbo?
 
wanajamii lisemwalo lipo tusiache lipite hivi hivi tujaribu kuona matukio haya kiuhalisia askari ana pikipiki bunduki smg wako wawili wanashikiwa kisu SMG wananyang,anywa .turudi nyuma kidogo askari hawa wana mbinu ,mikakati ,mafunzo jinsi ya kukabiliana na ujambazi ,au chochote ,ukiacha hilo wana intelegensia ya kiusalama ,pamoja na yote hayo wanaporwa silaha katika mazingira mepesi sana yenye kutia shaka weledi wa askari hawa wanaotegemewa na watawala kulinda nchi.haiwezekani uchunguzi ufanyike zipo taratibu za kikazi akibainika achukuliwe hatua mara moja .ikumbukwe hizi silaha zimeporwa hatujajulishwa zimerudi au zimepatikana ,pia msako uanze haraka sio muda wa kukaa ofisini na kujitapa nimesoma sheria au kozi fulani fulani tunataka kuona unaisaidiaje nchi ibaki salama vinginevyo hata wewe uliye kwenye ofisi za jeshi la polisi ni bomu.
 
Wakuu salamaa?

Jana nimemsikikiza mh. Lema, akieleza juu ya sintofahamu ya kuvamiwa vituo vya police, kupigwa na kuporwa bunduki n.k

Kwa mshangao mkubwa akasema, Kamanda Changoja haamini kama rais kaishafanya uteuzi wa IGP na sasa anafanya sabotage to a new IGP ili aonekane anamapungufu kwa kuratibu matukio mbalimbali n.k

Ni kauli nzito sana, na matukio sasa ya aina hii ni mengi sana, tujadili pamoja kwa undani kama kuna kiukweli vile.

Mungu nibariki nifike December tu.
Chagonja ni Mroho wa vyeo hilo linafahamika tokea akiwa CCP,

Huyu Chagonja kupitia Mkewe Ambye ni Mrundi waliwatapeli wazazi wa Vijana 400 kwa kuchua ada zao kwa Mategemeo yakuwaingiza CCP mpango huo ulishindwa baada yakubainika Ila wazazi wao hawajarejeshewa hata Senti,

Huya Chagonja amewekwa kwapani na Mkewe hasemi neno kwenye familia.
 
Lema asinge weza kumsingizia mtu kama Chagonja kitu ambacho sicho.
 
lema alisema raisi jk ni kinara wa udini huyu lema huyu

Lema hakurupukagi bila ushahidi mkuu,alivyomtaja Mh Rais ilikuwa kauli nzito ambayo hata Mh Lema alijua ni nzito na huenda ingemsumbua kama ungetakiwa ushahidi na asiwenao,lakini kwakuwa ilikuwa nikweli hakuuombwa ushahidi athibitishe,nahili naendelea kuamini nikweli kabisa!!
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza

1. Unaweza kuweka ushahidi hapa kuna kituo gani cha polisi kiliisha vamiwa ndani ya nchi hii na Polisi kuuawa na silaha kuibiwa kabla ya Mangu kuwa IGP?
2. ukimaliza kujibu hilo naomba unitajie baadhi ya matukio ya ujambazi aliyowahi kuyafanya Mh. Lema na uuelezee umma ni hatua gani zilichukuliwa na jeshi la polisi juu ya ujambazi huo wa Lema
3. je sifa za mtanzania kupata ridhaa ya kugombea Ubunge zinaruhusu jambazi au mtuhumiwa wa matukio ya aina hiyo kuruhusiwa?
4. kama Lema ni jambazi na ujambazi huo umefanyika ndani na nje ya Arusha ilikuwaje wananchi wakamchagua lema Jambazi na kumuacha Batrida Buriani ambaye wewe unaona ndio hasiye na uhalifu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom