Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Lema: Chagonja haamini kama Rais kaishateua IGP

Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza

usiache kutumia dawa zako ulizopewa milembeee
 
Nadhani hii kauli isichukuliwe kimzaa,hata kama lema na chagonja wana uhasama,lakini tunaomba vyombo vya usalama vilifanyie kazi.maana lema sio chizi aamue kutamka maneno makali kama hayo tena sehemu nyeti bungeni.
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza

Mara nyingi wabunge huwa wanapewa habari toka sehemu husika ili wakaseme bungeni. Sasa hizi habari za Lema usizipuuze,inawezekana hao polisi wa vyeo vya chini ndiyo wanajua mchezo mzima wa Changoja ila sasa wanakosa pa kusemea na wakaamua njia pekee ni kumpa mbunge akailipue ishu bungeni. Kwahiyo lisemwalo lipo vuta subira huko mbele ukweli utakuja julikana.
 
Uelewi nini sasa?

Neno AMINI MAANA YAKE KUWA NA IMANI, SADIKI, Je Hapo Kwenye Sentesi Yake Inaleta Maana Gani? AMINI = SADIKI, HAAMINI=KUTOSADIKI, KUTOKUAMINI JAMBO FULANI. Sasa Yeye Katumia Neno AMINI Je Kwenye Habari Hiyo Na Ukizingatia Na Maana Ya Neno AMINI Alikuwa Anamaanisha Nini?
 
Mkuu Ng'wale naomba uendelee kutoa darasa hapa kuhusu madhara ya kuondoa herufi h kwenye baadhi ya maneno.
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza

Kwa kuwa ni wewe hatushangai. Maana ulishajitoa mhanga wa kutotumia akili.
 
Ndugu Ng'wale una kazi kubwa kurekebisha tatizo la kimfumo ambalo chimbuko lake ni kwenye elimu wanayopata vijana wetu mashuleni.
 
Kuna tatizo sana la kiuandishi kwa hawa vijana wa sasa, amini nafikiri alikua na maana ya haamini. Mtu anataka kuandika ''haoni'' yeye ataandika ''aoni''. Kuna omission za baadhi ya herufi hasa ''h'' bila sababu na wakati mwingine inaharibu kabisa maana ya neno husika. Kuna tatizo somewhere huko mashuleni kwa sababu ni wengi sana walio na uandikaji huo hata katika sms kwenye simu.

Asante. Ingia shuleni ukawafundishe walimu. Hapa tuache na siasa tu.
 
Jamani lema yuko sawa mangu hana miaka 2 mbele anatakiwa kustafu na chagoja anafukuzia hiyo nafasi na kikwete alimteua Mangi ili wamalize naye ikitokea raisi wa mwakani ameteua mwingine iwe aijaathili chochote
 
Mara nyingi wabunge huwa wanapewa habari toka sehemu husika ili wakaseme bungeni. Sasa hizi habari za Lema usizipuuze,inawezekana hao polisi wa vyeo vya chini ndiyo wanajua mchezo mzima wa Changoja ila sasa wanakosa pa kusemea na wakaamua njia pekee ni kumpa mbunge akailipue ishu bungeni. Kwahiyo lisemwalo lipo vuta subira huko mbele ukweli utakuja julikana.

Ni kama wale waliotoa siri kuwa Kova anatabia ya kwenda kwenye ghala la silaha zilizokamatwa zamani na kuzitoa kwa waandishi wa habari kama silaha zilizokamatwa kwenye matukio ya sasa. Waliotoa siri hiyo ni maofisa wa chini wa polisi.
 
Wakuu salamaa?

Jana nimemsikikiza mh. Lema, akieleza juu ya sintofahamu ya kuvamiwa vituo vywa police, kupigwa na kupolwa bunduki n.k

Kwa mshangao mkubwa akasema, Kamanda Changoja haamini kama rais kaishafanya uteuzi wa IGP na sasa anafanya sabotage to a new IGP ili aonekane anamapungu kwa kuratibu matukio mbalimbali n.k

Ni kauli nzito sana, na matukio sasa ya aina hii ni mengi sana, tujadili pamoja kwa undani kama kuna kiukweli vile.

Mungu nibariki nifike December tu.
matukio ya kuvamiwa vituo vya polisi na kupora silaha ni matukio yaliopangwa na 'wenzetu' ambao wameingia hapa nchi kutokea asia na somalia kwa njia ya dini....lengo lao ni kupata silaha maana inaonekana hawakuingia na silaha wanataka kuanzisha islamic state hapa....mimi ndivyo ninavyoona.
 
matukio ya kuvamiwa vituo vya polisi na kupora silaha ni matukio yaliopangwa na 'wenzetu' ambao wameingia hapa nchi kutokea asia na somalia kwa njia ya dini....lengo lao ni kupata silaha maana inaonekana hawakuingia na silaha wanataka kuanzisha islamic state hapa....mimi ndivyo ninavyoona.

Duh! Makubwaaa
 
Matukio ya kuvamiwa kwa vituo vya polisi hayajaanza sasa wakati wa Ernest Mangu. Nilichobaini kwenye maelezo ya Lema ni kutaka kuwagombanisha IGP Mangu na Mkuu wa Operesheni Chagonja kwa vile ameona kwa sasa Jeshi la Polisi ni moja. Lema ana uzoefu kutokana na kazi yake ya Ujambazi kwamba kunapokuwa na mpasuko ndani ya jeshi la polisi inakuwa ni wahalifu kujipenyeza

nipo kwenye mchakato ili nikufahamu nikuone tu hata kwa sura ili nijaribu kuoanisha ulivyo na mawazo yako kama nlivyo fanya kwa wenzio baadhi ambao hadi imewabidi wabadili ID zao.soon kiongozi!
 
Asante. Ingia shuleni ukawafundishe walimu. Hapa tuache na siasa tu.

Hata hizi siasa ni vizuri tunapopeana habari na taarifa mbalimbali au kuleta mada zinazohusu hizi siasa zetu ni bora tukatumia lugha zinazoeleweka ili kuzielewa hizo siasa, kuliko hivi inavyokwenda. Mimi si mtu wa Kiswahili wala si Mwalimu lakini hii ni lugha yetu ya Taifa ambapo ukiona mwenzako anaiandika kimakosa ni vema kuwekana sawa. Hata kama ni Kiingereza, mwenzako akikikosea muelekeze. Lakini katika siasa tuko pamoja mkuu.
 
Hizi ni siasa za maji taka kama Lema alikuwa jambazi mkashindwa kumkatamata basi nyie ni wapumbavulakini sisi tunajua majambazi na wauza unga wengi ni makada wa ccm.

Lema ni Jambazi Sugu tena ni mwizi
 
Hizi ni siasa za maji taka kama Lema alikuwa jambazi mkashindwa kumkatamata basi nyie ni wapumbavulakini sisi tunajua majambazi na wauza unga wengi ni makada wa ccm.

Lema ni Jambazi Sugu tena ni mwizi na Chadema yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom