matokeo ya leo itakuwa ni majibu kwa aki Juliana (zamani jina hilo ndo ulikuwa UKIMWI). Leta habari Yeriko tulete ukombozi ambao akina NAPE hawatki upatikane kwa kuwatumia akina Juliana na akina ZITO
Likizo imeisha, kama namuona Lukuvi anavyosoma kanuni na miongozo.
Huyu jaji ni kilaza wa nguvu!!Masikini AIBU YAKE Judge Rwakibalira
What a Christmas present!..........MERRY CHRISTMAS TO YOU ALL!
mahakama zetu hazieleweki,,,,,,,,,,,,,
Kamanda Lema rudi jimboni katimize ahadi zako kwa wapiga kura wako kujenga hospitali pamoja na machinga compelex.