Dr. Slaa kiboko, KAVURUGA kambi nzima, sasa hivi watu ni full kujaribu kujibu mapigo bila mafanikio.
Ulitaka wakae kimya?
Dr. Slaa kiboko, KAVURUGA kambi nzima, sasa hivi watu ni full kujaribu kujibu mapigo bila mafanikio.
Mkuu Lema ni RAIS wa Arusha maana Lema ni zaidi ya kikwete Arusha, na wakifanya kosa wakaweka rais gamba baaaasi, tutaendelea kumtambua lema kama rais wetu.