Mwisho mtakufulu! Sauti ipi ya MUNGU uloisikia wewe mpaka kua na hakika ya ukisemacho?
Kesho tunasubiri kwa hamu mkutano wa uzinduzi wa kampeni za ubunge pale uwanja wa shule ya msingi ngarenaro tutakuwa na mbunge wetu mtarajiwa Lema.
NI LEMA TENA ARUSHA 2015
Lemaa,,, ndo naniiii
Nimecheka sana aiseeeee
Mwisho mtakufulu! Sauti ipi ya MUNGU uloisikia wewe mpaka kua na hakika ya ukisemacho?
Jiachie mkuu, wanataka kujifanya wamechomwa sindano ya ganzi hawajui kinachoendelea uzuri ni kwamba dawa inafanya kazi na wameanza kupata uponyaji.
Watapona kamanda,la msingi tusiwape muda wa kupotosha hao hawachelewi
Hawapati nafasi wale wamekabwa hadi raha.
Wenzio wanakiri Lema hana haja ya kampeni...wanajua anafanya kazi ya kuzijaza kura za lowasa, na kuwavuta karibu hata wasiopiga kura.Wenzio wanajitetea km si Lowasa Lema angekuwa na hali ngumu.Sasa matajiri wa nini wakati anasubiri apishwa tuu.Huyo matajir wamemgomea ufadhili ameshaukosa akuna cha machinga complex wala nn
Sasa hivi tunatembea kwa kujidai mitaani na mafisem yana jificha,subiri wauone moto wa sumbawanga kesho
Acha kabisa mkuu, Lowassa ni mgodi unaotembea.
Ccm kwa sasa ni maji ya shingo kila pahala
Sasa ndo ninaelewa maana ya kauli ya mbowe kuwa tumebadili gia angani. Yaan el ni anawapa shida balaa
Apeleke kwenye Msafara na Mihadhara ya fisadi Lowasa!
Dr. Slaa kiboko, KAVURUGA kambi nzima, sasa hivi watu ni full kujaribu kujibu mapigo bila mafanikio.
Dr. Slaa kiboko, KAVURUGA kambi nzima, sasa hivi watu ni full kujaribu kujibu mapigo bila mafanikio.
Huyo matajir wamemgomea ufadhili ameshaukosa akuna cha machinga complex wala nn
Mbunge wa arusha