Lema anaongea Radio 5 ya Arusha muda huu

Lema anaongea Radio 5 ya Arusha muda huu

Unko T

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
200
Reaction score
266
Mbunge wa Arusha mjini anaongea kupitia Radio 5 ya jiji hilo.

alinunua ambulance, Halmashauri imelikataa, kesho atakwenda nalo kwenye mkutano wananchi wamshauri nini afanye nalo

Hospitali ya mama na mtoto ujenzi unaendelea

Machinga complex ya Arusha mpango unaendelea, wanatafuta wafadhili, atajenga soko la kisasa.

Machinga wafanye kazi zaidi waendelee, umachinga ni daraja tu kupita hivyo wasogee utukufu mwingine
 
Huyo matajir wamemgomea ufadhili ameshaukosa akuna cha machinga complex wala nn
 
Dr. Slaa kiboko, KAVURUGA kambi nzima, sasa hivi watu ni full kujaribu kujibu mapigo bila mafanikio.
 
Mbunge wa Arusha mjini anaongea kupitia Radio 5 ya jiji hilo.

alinunua ambulance, Halmashauri imelikataa, kesho atakwenda nalo kwenye mkutano wananchi wamshauri nini afanye nalo

Hospitali ya mama na mtoto ujenzi unaendelea

Machinga complex ya Arusha mpango unaendelea, wanatafuta wafadhili, atajenga soko la kisasa.

Machinga wafanye kazi zaidi waendelee, umachinga ni daraja tu kupita hivyo wasogee utukufu mwingine

Apeleke kwenye Msafara na Mihadhara ya fisadi Lowasa!

 
we dr ili bomu umelitoa wapi maana hawa jamaa naona wanasambarika kadri muda unavyoenda mpaka jumamosi ukawa kila moja na njia yake HAPA KAZI TU
 
Tatizo lenu wengi hamjui,slaa na kashifa za lowasa ndo ziliijenga cdm tangu 2010 Leo anayasema lowasa akiwa cdm eti nimnafiki unafiki wake uko wapi?

Lowasa ni rais wa JMT
 

Attachments

  • 1441221121905.jpg
    1441221121905.jpg
    20.9 KB · Views: 663
Rais wa kuzimu labda

Rais aliyeteuliwa na Mungu muumba mbingu na nchi. Upende usipende, Mungu akisema ndio hakuna wa kusema hapana. Lowassa ni mtu safi, na mbingu imeafiki yeye kuwa rais.
 
Rais aliyeteuliwa na Mungu muumba mbingu na nchi. Upende usipende, Mungu akisema ndio hakuna wa kusema hapana. Lowassa ni mtu safi, na mbingu imeafiki yeye kuwa rais.

Kweli kabisa mkuu huyo ndiye rais wetu
 
Kanone umeshakosa kibarua kwani magufuri ameshashindwa
 
Rais aliyeteuliwa na Mungu muumba mbingu na nchi. Upende usipende, Mungu akisema ndio hakuna wa kusema hapana. Lowassa ni mtu safi, na mbingu imeafiki yeye kuwa rais.

Mwisho mtakufulu! Sauti ipi ya MUNGU uloisikia wewe mpaka kua na hakika ya ukisemacho?
 
Mussa vipi tena! mbona una panic! ufisadi ni sifa.... take eazy.... haujamuelewa Mwenyekiti Mwenza.... hakuna FISADI Tanzania bali kuna Mfumo
 
Twenda mbele rais wa a town! Najua wanafiki wanaozuia mipango yako ya maendeleo watakwama tu! Walioshindwa kupambana watatelemka safari inaendelea! Hii ni vita na adui yetu ana mbinu nyingi katega mabomu ardhini kumaliza waendao mstari wa mbele!
 
Mussa vipi tena! mbona una panic! ufisadi ni sifa.... take eazy.... haujamuelewa Mwenyekiti Mwenza.... hakuna FISADI Tanzania bali kuna Mfumo

Haja panic ila ni kujaribu kumuweka sawa huyo aliyemuita rais wetu fisadi bila kua na ushahidi na pia kumkumbusha nchi hii imekumbwa na kashfa nyingi tu! Nadhani unazijua
 
Lowasa ni rais wa JMT
Ni kweli mkuu! By the way, kulingana na kauli aliyokwishaitoa Dr Slaa miezi michache iliyopita ni kwamba: Magufuli anastahili kuwa gerezani kwa tuhuma ya kuuza nyumba za serikali kifisadi . Wakati huo huo wiki hii amesema: Lowasa naye ni mchafu kwenye kashfa ya Richmond, hafai kuwa rais!

Ni bahati mbaya kwamba waandishi wa habari nao walisahau kumuuliza Dr Slaa hili swali: "Sasa kwa maoni yako kura tumpe nani kati ya hao mafisadi wawili? Magufuli au Lowassa?" Sasa Dr Slaa atuache tuchague the lesser evil!
 
Back
Top Bottom