Unko T
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 200
- 266
Mbunge wa Arusha mjini anaongea kupitia Radio 5 ya jiji hilo.
alinunua ambulance, Halmashauri imelikataa, kesho atakwenda nalo kwenye mkutano wananchi wamshauri nini afanye nalo
Hospitali ya mama na mtoto ujenzi unaendelea
Machinga complex ya Arusha mpango unaendelea, wanatafuta wafadhili, atajenga soko la kisasa.
Machinga wafanye kazi zaidi waendelee, umachinga ni daraja tu kupita hivyo wasogee utukufu mwingine
alinunua ambulance, Halmashauri imelikataa, kesho atakwenda nalo kwenye mkutano wananchi wamshauri nini afanye nalo
Hospitali ya mama na mtoto ujenzi unaendelea
Machinga complex ya Arusha mpango unaendelea, wanatafuta wafadhili, atajenga soko la kisasa.
Machinga wafanye kazi zaidi waendelee, umachinga ni daraja tu kupita hivyo wasogee utukufu mwingine