AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Halafu kuna sheria gani inasema kuwa hawezi kufanya biashara? mbona mtei ana mabasi, mbowe ana disco, Slaa biashara ya kuku.
Lema pia anabiashara yake(pamoja na kuwa sio ya halali)
Bila shaka ww utakuwa na majini kwenye ubongo wako.